Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,524
Mimi sio kwamba napinga uwezo wa ronaldo, na question credibity & capacity ya bench letu la ufundi. I adore & hail Ronaldo na ninaamini maamuzi ya kumchukua ni makubwa kuliko maamuzi yote aliyofanya ole toka awe cocha wa man utd.Sasa mkuu hata kama tusingemsajili Ronaldo unadhani Ole alikuwa anafanya sajili nyingine?..jibu ni hapana.
Na Ronaldo akiwa hayupo kwa majeraha au uchovu tutatumia tuliokuwa tumepanga kuwatumia msimu huu bila yeye.
Tuache kuwa negative..kuna wachezaji wakusajiliwa hata kama ni kwa kukurupuka..Messi na Ronaldo ni mfano..PSG na sisi tulisajili wao watu respectively coz fursa ilitokea na kulikuwa hamna jinsi ya kujiuliza mara mbili.
Huyu Ronaldo anaenda kuwa Top scorer wa msimu huu..Mark my words.
ugomvi wangu na ole ni huu. kwa nini hakumpursue? au basi kwa nini hajapursue mchezaji mwenye caliber yake? kwa nini every time ole anasign mchezaji ambaye ni target ya ufungaji inakuwa kama kukurupuka ?
Kumbuka ole alipofika alimuondoa lukaku kwa madai kwamba hataendana na uchezaji anaotaka kuuformulate, kwamba hatuitaji lone number 9. immedietely baada ya apo akamsajiri kwa mkopo ighalo for the same purpose, then akamsajiri cavan for the same purpose, na sasa amemsajiri Ronaldo for the same purpose.
na hawa wote anawasajiri on a temporary basis? this ole is overly conflicting himself na cocha wa namna hiyo hafai ndio maana timu yetu haina consistency katika uchezaji.
Jana Ronaldo ndio kaprove kwamba Ole ni Tatizo, baada ya jamaa kusawazisha benchi lote la ufundi liliparanganyika, wali scrumble pale benchi kwa namna inayoonyesha hamna mtu anayeamiwa kutoa maelekezo ya kiungozi in time of trouble, then ronaldo akascore pakatulia.