Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi sio kwamba napinga uwezo wa ronaldo, na question credibity & capacity ya bench letu la ufundi. I adore & hail Ronaldo na ninaamini maamuzi ya kumchukua ni makubwa kuliko maamuzi yote aliyofanya ole toka awe cocha wa man utd.

ugomvi wangu na ole ni huu. kwa nini hakumpursue? au basi kwa nini hajapursue mchezaji mwenye caliber yake? kwa nini every time ole anasign mchezaji ambaye ni target ya ufungaji inakuwa kama kukurupuka ?

Kumbuka ole alipofika alimuondoa lukaku kwa madai kwamba hataendana na uchezaji anaotaka kuuformulate, kwamba hatuitaji lone number 9. immedietely baada ya apo akamsajiri kwa mkopo ighalo for the same purpose, then akamsajiri cavan for the same purpose, na sasa amemsajiri Ronaldo for the same purpose.

na hawa wote anawasajiri on a temporary basis? this ole is overly conflicting himself na cocha wa namna hiyo hafai ndio maana timu yetu haina consistency katika uchezaji.

Jana Ronaldo ndio kaprove kwamba Ole ni Tatizo, baada ya jamaa kusawazisha benchi lote la ufundi liliparanganyika, wali scrumble pale benchi kwa namna inayoonyesha hamna mtu anayeamiwa kutoa maelekezo ya kiungozi in time of trouble, then ronaldo akascore pakatulia.
 
Mara nyingi wachezaji wa Chelsea wanapotoka international wanakuwaga hovyo sana ..ila kwa jana mpira ilikuwa m'bovu kweli lakini tukashinda traaa eee ni traaa sasa haya madubwana ya OT tutayalamba lamba hadi kukuche.
Hehehehe CFC
Jana mmecheza kama man u na mkashinda, sasa mje mkutane nayo mcheze hivyo hivyo ndio mtajua kama maji ni maji au ni mma.
 
Sasa wewe takataka unafananisha mpira wa Chelsea na Nyumbu fc??? Nyie mnacheza na trend tu ..mkikutana na vijana wenye roho mbaya kama wa Chelsea basi mutajua hamjui..
hey hey, sikiliza, tuko hapa kujadili mpira, wachezaji, makocha, na stakeholders wengine au all other systems na processes related to football. hatuko hapa kushambuliana, kutukatanana kutokana na tofauti ya mitazamo yetu, mapenzi yetu, ujuaji au ujinga wetu.

Naomba uwe na mipaka kwenye personality yangu, especially huo upande wa kutukanana, sababu ntakurushia matusi hapa mpaka ujinyee.
chunga adabu yako pls.
 
Ninachoamini Mimi kwa hawa wachezaji tulio nao angekuwa kocha mzuri tungetisha sanaaaaa! Ole hana mbimu madhubuti. Wachezaji watupambanie tu tuchukue vikombe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…