Hapana sisi tunalipa mishahara midogo sana, even Hao kina Rashford na Martial watu wanaolalamika wanapata 200k hizo ni inclusive na Image rights. Mtu anapata hela Kubwa sasa hivi ni DE Gea Peke yake.
Sometimes kama timu yako inaweza kucreate chances nyingi na kufunga zote DM siyo tatizo sana... Tatizo kama huna wamaliziaji DM atakusaidia kubalance timu
️ Cristiano Ronaldo has scored 551 club goals since leaving Man Utd in 2009 ......
Man Utd top scorers since Aug 2009
156 Wayne Rooney
88 Marcus Rashford
78 Anthony Martial
59 Javier Hernandez
58 Robin Van Persie
51 Juan Mata
43 Bruno Fernandes
Sio mbaya ikiish miaka miwili anapewa under 18 acheze nao yule ni nembo ya club kama manchester united wasingemrudisha ningeshangaa sana mbele kuna vijana wengi sana wanahitaj kujifunza na kuona toka kwa cr7
Elanga
Greenwood
Shola shoretire
Hapana sisi tunalipa mishahara midogo sana, even Hao kina Rashford na Martial watu wanaolalamika wanapata 200k hizo ni inclusive na Image rights. Mtu anapata hela Kubwa sasa hivi ni DE Gea Peke yake.