Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Cristiano Ronaldo karudi Man U.

Messi yupo PSG.

Romelu Lukaku yupo chelsea.

Kylian Mbappe mda wowote atakua Madrid.

Harry kanne still yupo spurs.

Grelish yupo Man City.

Benjamin Mendy in jail kwa ubakaji.

Arsenal wapo wapo tu hahahaha dah by the way what fantastic transfer window.
 
️ Cristiano Ronaldo has scored 551 club goals since leaving Man Utd in 2009 ......

Man Utd top scorers since Aug 2009
156 Wayne Rooney
88 Marcus Rashford
78 Anthony Martial
59 Javier Hernandez
58 Robin Van Persie
51 Juan Mata
43 Bruno Fernandes
 
ndani ya robo saa likes za instagram kwenye page ya Man united inayocomfirm ronaldo karudi ina mil 2,129,555
Hivi shule ulienda kusomea ujinga? Milioni 2,129,555 unaijua wewe? kwa taarifa yako umemaanisha 1,000,000 x 2,129,555
 
Hapana sisi tunalipa mishahara midogo sana, even Hao kina Rashford na Martial watu wanaolalamika wanapata 200k hizo ni inclusive na Image rights. Mtu anapata hela Kubwa sasa hivi ni DE Gea Peke yake.
£200K unasema ndogo chief?

Ujue ni moja ya sababu ya wachezaji kukosa timu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…