Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi naona aanze kumuamin na dialo et
 
Amewajaza haraf kuwatumia hajui rashford anarejea kuna lingard dialo james bado martial wote mawinga hao ngoja tumuone kocha wetu
mechi zipo nyingi kupitia michuano tofauti hivyo ni bora kuwa na kundi kubwa la wachezaji kwenye position husika kwa dhumuni la kuwapunguzia game time wachezaji muhimu.

jadon sancho akishakuwa na match fitness hutomuona tena uwanjani daniel james isipokuwa kwa mechi maalumu, shughuli itakuwepo huko upande wa kushoto
 
Fa na carabao cup?
 
Amewajaza haraf kuwatumia hajui rashford anarejea kuna lingard dialo james bado martial wote mawinga hao ngoja tumuone kocha wetu
Unajaza jaza vichezaji vingi vya kipuuzi mwisho wa siku vinatuangusha, hivi vikina James, Trashford, Martial, Lingard, et al wenye uwezo km wao ndio sababu ya cc kufanya vibaya kila msimu, fukuza hivi vitoto ni average hivi.
 
1. City has thrashed norwich 5 nil and eaten up on our goal difference gap. this puts our leading position at risk in average.
2. Nimeangalia game ya Liver. wana moto wa 2019/20, hawakuwa na bahati wangefunga goli nyingi sana leo.

Kesho tunatikuwa kushinda kuanzia goal 3+ ili kujiweka kwenye safe position, tunachohitaji kwa sasa ni kujenga mentality ya kujiamini.
 
Nyie matakataka Leo tunamnywa arse8 ili iwe fundisho kwenu ..maana ninyi ni wateja wao
 
labda mshinde njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…