Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahaha kuna watu waliwahi kutoa maoni hapa tumnunue. Sina imani kabisa na pesa inayowekwa kumnunua mchezaji wa kiingereza (ni sawa na mtu anayenunua choo cha dhahabu). Can you imagine Grealish ana thamani kubwa kuliko Bruno?
Bruno angekuwa muingereza angeuzwa zaidi ya £300M.

Wapumbavu sana hawa jamaa.
 
graeme souness syndrome

Micah Richards:
"Kane's not turned up for training and we're calling him a saint, Pogba's never said he wanted to leave #mufc but he's getting abuse.
Kane is overrated.

Labda aondoke bure. Ila hakuna timu yenye akili timamu ikamchukua harry kane.
 
nasubiria vita ya varane dhidi ya lindelof, najua maguire hatoguswa
The guy is so optimistic amekosolewa sana misimu miwili iliyopita lakini hajawahi kupaniki wala kulalamika.

Kuna kipindi unaona kabisa hili ni kosa la slab head ila watu watakuja hapo kosa ni la Lindelof.

Ngoja tusubiri hii vita naona Bailly yeye kashapoteza pambano kabla ya kuingia uwanjani.
 
Mbn mpira ni mchezo wa wazi kabisa mkuu, haya mambo ya utaalamu wa kuchambua mpira huwa ni baada ya vitendo kufanyika lkn makosa huwa yanaonekana wazi tena dhahiri shairi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…