James bado hajui anachokifanya anakimbia tu, Pogba nae mambo mengi sana anapoteza mipira ingawa katoa assist kali sana.
Mechi nzuri battle ya midfield refa kaacha wauwane inapendeza.
Taarifa zipi nisaidie. Uelewa wangu ni kuwa Rashford akiwa fit na Cavani yupo, Lingard hawezi kupata nafasi. Kama OGS ameamua kumuacha nje Martial na Sacho ilikuwa chance kwa Lingard.