Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
sosha anasema yuko sawa na kikosi chake ok ngoja tuone asije kuanza visingizio badae huko maana naona msimu utakua wa moto sana huu tukicheza makida yetu top 4 tutaisikia kwenye bomba. Ubingwa bado sijawaza ngoja tucheze hata mechi 10 nione kama tumebadilika kiuchezaji.
Mkuu unaubishi wa kitoto sana na unaokera sana sometimes.Mkuu unaposema centre mediflder.
Bado hujachambuwa ni yupi?
Centre mediflder
Either attacking
Or defensive
Wote ni centre mediflders.( viungo wa kati)
Unatakiwa useme mediflder wa aina gani..
Cm
Ni sawa useme neno DRIVER.
wapo madereva wa Lori,bus,,,ili kuwatambuwa lazima useme Lori driver.
Au bus driver..
Centre mediflder ni kiungo wa kati kwa kiswahili.
Bado hujaelezea ni kati wapi anacheza..
Mediflders wote Attacking na defensive wote ni centre mediflders.
Me naona poa tu, kutokana nibora tubane matumizi tu kwa upande huo (beki ya kulia) kutokana kwanza teyari kusha sajili wenga ambae atasaidiana na wawili kati yao katika upande huo wa kulia.tumeachana na mpango wa kusajili mlinzi wa kulia anayeitwa kierran trippier kwa sababu ya dau lake kubwa lililowekwa na atletico madrid, upande wa pili klabu ya AC Milan imeshindwa kuafikiana na man utd juu ya usajili wa diogo dalot kwa mkopo.
hivyo mpinzani wa wan bissaka atakuwa ni diogo dalot, eneo linaloangaliwa zaidi kwa sasa kabla ya kufungwa kwa dirisha ni midfield.
Msome vizuri jamaa utamuelewa.Hujui unacho kiandika....fred na tom ni wachezeshaji? Au hao uliowataja na bruno wanatofauti gani katka roles on the pitch..
Ngapi huko?Leo tunaenda kuwalamba lamba wale ma ex zenu villareal ..tu tafuta aibu mliyopata ..semeni asante Chelsea..
Chelsea 3-1 Villarreal
Chelsea 6 Bwana zenu 5Ngapi huko?
Pata picha tungempata man U tungemfanyaje 😁nyie wajane nimewafutia machoziView attachment 1889043
Asanteni kwa kuwapiga 3-1 kama ulivyotabiri mkuu.Chelsea 6 Bwana zenu 5
This is Chelsea..
Woyooooooooooo pigaaaaaaaaa keleeeeeeeeeeeee