Toa Pogba weka mtu anayecheza kwa maslahi ya timu,kwapa kabla ya Mahi mkuu.=====
Henderson
AWB Varane Maguire Shaw
Pogba Fred
Sancho Fernandes Rashford
Cavani
========
Good enough to win the league under Ole?
tuna wachezaji 33 waliopo kikosini kivyovyote patahitajika kwanza kuondolewa kwa baadhi ya wachezaji kwa ofa sahihi ndipo klabu iangalie upande mwengine wa usajili.Babu apige kelele asaidiwe DM anunuliwe.
Sio kila msimu tunaanza tukijua kuna pengo ambalo yeye anachukulia kama sababu ya kutofanya vizuri.
Inakuaje tunashindwa kumalizia hii kazi kwa kutoa 30-50$ kununua DM?
Ndio maana mkafungwa final mzee.....yani mchezaji mzuri humpimi kwa magoli na assist?? toka lini? ingekuwa hivyo Messi asingekuwa maarufu maana magoli ndio yanamuweka juu,Mkuu achakudanganywa na takwimu ,siku hizi takwimu sio kiegezo tena cha kujua mchezaji mzuri ...
Siku hizi mchezaji mzuri anaangaliwa
Ball control
Anavoreceive Mpira na kumantain pass
Anavojituma na kutengeneza nafasi ..
Unaweza kuwa mfungaji wa magoli mengi ,na namba kubwa ya magori lakin ukiangaliwa uwezo wako uwanjan ukiwa na Mpira ni mdogo sana,mfn samata...
Mpira wa kisasa hauendeshwi na hizo takwimu tena ,bali ni observation kwenye pitch...
Kdb hana assist nying wala goli kumzidi Bruno ,lakin kdb akiwa na mpira anavoreceive ,control na kuachia pass ,Bruno hamfikii kabisa ...
dean henderson amepewa mapumziko nafikiri alipata corona hivyo upo uwezekano mkubwa wa kuanza ligi na david degeaHenderson
cavani bado amepewa mapumziko, upo uwezekano wa kuanza ligi huku mshambuliaji akiwa ni greenwood au anthony martial.Cavani
We jamaa si uwe comedian tu.Mkuu achakudanganywa na takwimu ,siku hizi takwimu sio kiegezo tena cha kujua mchezaji mzuri ...
Siku hizi mchezaji mzuri anaangaliwa
Ball control
Anavoreceive Mpira na kumantain pass
Anavojituma na kutengeneza nafasi ..
Unaweza kuwa mfungaji wa magoli mengi ,na namba kubwa ya magori lakin ukiangaliwa uwezo wako uwanjan ukiwa na Mpira ni mdogo sana,mfn samata...
Mpira wa kisasa hauendeshwi na hizo takwimu tena ,bali ni observation kwenye pitch...
Kdb hana assist nying wala goli kumzidi Bruno ,lakin kdb akiwa na mpira anavoreceive ,control na kuachia pass ,Bruno hamfikii kabisa ...
Nimejaribu kupanga first eleven yetu bila kuangalia fitness na injury..yaani kama tusipo sajili tena our strongest XI itakuwa ndo hiyo..sio kikosi cha kucheza game za ufunguzi za ligi or something.dean henderson amepewa mapumziko nafikiri alipata corona hivyo upo uwezekano mkubwa wa kuanza ligi na david degea
cavani bado amepewa mapumziko, upo uwezekano wa kuanza ligi huku mshambuliaji akiwa ni greenwood au anthony martial.
kama tutacheza kwa nidhamu kwa dakika 90 za kila mechi kama walivyofanya liverpool misimu miwili iliopita tuna uwezo wa kufanya makubwa bila ya kuangalia maadui wetu wamejipangaje, mechi nyingi tunacheza huku morali ya kuwadhibiti maadui ikiwa ni ndogo (tunazichukulia mechi ni rahisi)
PTER ana maneno yake ya kiengereza anapenda kuyatumia pindi anapomzungumzia Ole na timu yake
Hivi hizo kanunu za La Liga zinasemaje?barcelona sijui walipatwa na ugonjwa gani uliosababisha kupotea kwa akili za kiuongozi, eti griezmann analipwa takribani euro laki 6 kwa wiki, frankie dejong analipwa takribani euro laki 4.
leo mashabiki wameamua komzomea griezmann pindi alipokuwa anawasili viwanja vya mazoezi, wanaamini uwepo wake ndio sababu ya klabu kushindwa kuafikiana na kanuni zilizowekwa na la liga.
Nimesema makocha wenye akili kubwa ndio wanajua vigezo vya kuchukua mchezaji ,hao wakina ole si average manager tu ,..Ndio maana mkafungwa final mzee.....yani mchezaji mzuri humpimi kwa magoli na assist?? toka lini? ingekuwa hivyo Messi asingekuwa maarufu maana magoli ndio yanamuweka juu,
kuna jamaa apojui hapo record ya Messi kwanini wasingeweka ametuliza vozuri mpira mara 12358 ila wameweka amescore magoli mangapi....
Pia ingekuwa hivyo Chelsea wasingeenda toa paund mil 100 kwa Lukaku ambaye control hana ila anamagoli 20+ kila msimu
Vizuri,ila nilitamani tupate mchezaji sahihi mapema ili azoeane na wenzake kabla ligi haijaanza halafu tuanze kutafuta soko la wasiouzika wetu kama italazimu.tuna wachezaji 33 waliopo kikosini kivyovyote patahitajika kwanza kuondolewa kwa baadhi ya wachezaji kwa ofa sahihi ndipo klabu iangalie upande mwengine wa usajili.
Mkuu maswala ya kuaangalia Google anamagoli ,sijui assist ndio kimempoteza samata ...We jamaa si uwe comedian tu.
Striker huwa haitaji mambo mengi, halafu nani kakuambia mpira siyo statistics?
Watu wangekuwa wanashinda basi mechi kwa kuupiga mwingi na siyo magoli.
Bruno Fernandes atawakera sana. "IN A LEAGUE OF HIS OWN." Dadeeki!!!
upo sahihi lakini pia wanachunguza na takwimu zake za huko uwanjani, hivi karibuni niliwahi kusoma taarifa inayohusu uchunguzi wa rafael varane pamoja na walinzi wengine waliokuwa wakifuatiliwa na benchi la ufundi (pau torres na jules kounde).Nowadays namba sio kigezo cha kumsajili mchezaji ,narudia tena anafanyiwa observation live on pitch .
Hapa ndipo huwa nakosa imani na Ole kama serikali iliyopo madarakani.kuhusu DM taarifa zinadai Ole anampenda zaidi lile toto la kiengereza aliyewekewa thamani ya paundi millioni 70 kwenda juu,
Hamia huku tujue moja naona moyo wako uko huku ndiyo maana hubanduki kwenye uzi huuMkuu maswala ya kuaangalia Google anamagoli ,sijui assist ndio kimempoteza samata ...
Mpira sio kusubili utafuniwe wewe umalize mpira ,ni udambwi udambwi mwingi ...
Mpira wa kubutua butua tu kama kina lukaku ni wa kizaman na unaenda kuisha soon ,..
Na lukaku kama anaenda Chelsea basi anapotea soon,ile sio timu ya kusubili ushushiwe mpira ubutue golin ,..
Ndio maana aguero hakufit kwenye mfumo wa pep ,ila zaman alikuwa star ,kwan mifumo ya mipira inabadili ..
Na makocha wakubwa tu ndio wanajua hilo ,morihno mpira umemshinda kwasababu kama hizo ...
Modern football ,play as team ,defend as team ,attack as team ,trust me kocha atakayepata wachezaji wa kufiti huo mfumo ,hakuna team itakayoweza kupita hapo ...
Nasi pia tujiangalie na uchumba tunaolazimisha kwa labile maana inaelekea kuharibu structure ya mishahara ya timu na matokeo yake tutakuwa tunavutia kwa pesa na sio historia nzuri au mapenzi kwa klabu.barcelona sijui walipatwa na ugonjwa gani uliosababisha kupotea kwa akili za kiuongozi, eti griezmann analipwa takribani euro laki 6 kwa wiki, frankie dejong analipwa takribani euro laki 4.
leo mashabiki wameamua komzomea griezmann pindi alipokuwa anawasili viwanja vya mazoezi, wanaamini uwepo wake ndio sababu ya klabu kushindwa kuafikiana na kanuni zilizowekwa na la liga.