Huyu Messi bado ana tamaa ya pesa...hajashiba tu?Mnasemaje kuhusu dili la MESSI?Hakuna timu inaweza mlipa zaidi yetu, tumfichie aibu asiwe unemployed.
Cantwell juzi katoa assist moja ya kinyama sana huko kwenye pre-season..ni mchezaji mzuri..Owen anacheza CAM na left wing alikuwa timu moja na Emiliano Buendia katika kikosi cha Norwitch kilichoshuka daraja msimu wa 2019/2020 nafikri wameipandisha tena Norwitch wakiwa pamoja ni goal scoring midfield last season Liverpool kuna tetesi walikuwa wanamhitaji ni kijana mdogo tu mwenye mapafu ya mbwa.
Varane na Cavan naona n damu changa haoMh, huyo andunje sijawahi kumkubali tangu akiwa dogo.
Tutengeneze timu yenye dam changa ambayo itadumu kwa miaka mingi, sio hao wazee.
Tatizo mshahara anao taka huyo andunje.Varane na Cavan naona n damu changa hao
Pass me that weed
Ohoooo!!!!!Tuanze/tuendelee ku appreciate vya kwetu sasa. Wan BissakaView attachment 1882387
Washika manati wamezidiwa hadi na Aston Villa kumwania mchezaji..hawa ndugu zetu wamejichokea vibaya mno...huyo Ben White wamejikaza mpaka mwisho kutoa hiyo 50mTatizo mshahara anao taka huyo andunje.
Kwa nini musimchukue nyie washika manati?
Huyu alitakiwa astaafu moja kwa moja au aende Marekani au China wakampe mabilioni.Lionel #Messi as a #FCBarcelona player:
672 goals [RECORD]
268 assists [RECORD]
778 games played [RECORD]
6 Ballon d'Or [RECORD]
6 Golden Boots [RECORD]
8 Pichichis [RECORD]
35 titles [RECORD]
Where to next?
Mkuu achakudanganywa na takwimu ,siku hizi takwimu sio kiegezo tena cha kujua mchezaji mzuri ...
Hii ni mpya kwanguMkuu achakudanganywa na takwimu ,siku hizi takwimu sio kiegezo tena cha kujua mchezaji mzuri ...
Siku hizi mchezaji mzuri anaangaliwa
Ball control
Anavoreceive Mpira na kumantain pass
Anavojituma na kutengeneza nafasi ..
Unaweza kuwa mfungaji wa magoli mengi ,na namba kubwa ya magori lakin ukiangaliwa uwezo wako uwanjan ukiwa na Mpira ni mdogo sana,mfn samata...
Mpira wa kisasa hauendeshwi na hizo takwimu tena ,bali ni observation kwenye pitch...
Kdb hana assist nying wala goli kumzidi Bruno ,lakin kdb akiwa na mpira anavoreceive ,control na kuachia pass ,Bruno hamfikii kabisa ...
Mkuu hii assessment wanatumuaga makocha wengi wakubwa kusajili mchezaji ,takwimu huwa zinaangaliwa lakini sio kigezo kikubwa ...Hii ni mpya kwangu
Ila angenunuliwa man u angekuwa wa hovyo au sio.Mkuu hii assessment wanatumuaga makocha wengi wakubwa kusajili mchezaji ,takwimu huwa zinaangaliwa lakini sio kigezo kikubwa ...
Mchezaji akiwa kwenye pitch ndio anajiuza ,...
Mtu kama samata anatakwimu nzuri ,ila mwangalie uwanjan anavocheza kwa anayejua mpira ataelewa nachosema....
Hana uwezo wa kuposses mpira hata second 5 ,hawezi kudribble ,
Kupita hata watu wawili ,..,hawezi kuficha mpira anapokuwa na adui ..
Hivyo ni vitu vidogo ,kwa macho ila amini ndio vinambeba mchezaji ...
Grealish hana namba kubwa ya magoli ,ila akiwa na mpira aisee kila mtu yupo na amani uwanjan kuwa ,mpira upo. Sehemu salama ,kwa sababu kumpokonya either umpige rafu au umuache aende..
Babu apige kelele asaidiwe DM anunuliwe."Anything from now is a bonus. I have to say that with the two signings we've got, we've strengthened where we wanted to strengthen. Let's see what happens. You never know in football. Anything can happen with ins and outs."
- OGS
Hakuna Dm au another CM wa uhakika kama watu wengi tunavyotaka."Anything from now is a bonus. I have to say that with the two signings we've got, we've strengthened where we wanted to strengthen. Let's see what happens. You never know in football. Anything can happen with ins and outs."
- OGS
Wakuu Messi vipi hawezi kutusogeza? Au ndio siyo rahisi kuwa chini ya average coach?