Jamaa ni shabiki lia lia wa United na hajawahi kulificha hilo.Bwana Jack Grealish alichopost mwaka 2012, leo City wanamtaka. Hata wazungu wanafukua makaburiView attachment 1875757
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Perez atuache kidogo.Madrid’s 17th Court has confirmed that all 12 clubs remain in the Super League. Madrid's 17th Court statement: "The Super League project continues with ALL clubs without ANY club withdrawing."
Huyu dogo selfish sana, alikua anajua anatatizo la bega muda mrefu, sijui kwann alienda uero isitoshe kule hakua 1st elevenTime to cut loose Pogba and get something from his insane wages and purchase value. He gave back very little and never cared for the club but himself View attachment 1872431
Kwanini tusiliuze hili dubwana?Huyu dogo selfish sana, alikua anajua anatatizo la bega muda mrefu, sijui kwann alienda uero isitoshe kule hakua 1st eleven
Sasa tutamkosa mechi kibao za ufunguzi
Kwann tusipige martial then tumueke GerlishKwanini tusiliuze hili dubwana?
Me lina nikera mpaka basi yani.
Mimi mwenyewe nilishindwa kumuelewa..kwanini aende euro na ana pending medical issue ambayo angeweza kutumia summer hii kutatua hiyo ishu!??Huyu dogo selfish sana, alikua anajua anatatizo la bega muda mrefu, sijui kwann alienda uero isitoshe kule hakua 1st eleven
Sasa tutamkosa mechi kibao za ufunguzi
Hii ni idea nzuri ila shida Martial bei yake itakuwa imeshuka sana halafu timu haziwezi kumkimbilia sababu ya mshahara wake kuwa Mkubwa sana. Woodward alikuwa zombie sana!Kwann tusipige martial then tumueke Gerlish
Kwann tusipige martial then tumueke Gerlish
Mbona mapema sana, ngoja ligi ianze Hadi utakufa Kabisa🤣🤣Am getting sick with these endless drama.
Dah!! Africa noma snCONFIRMED
Erick Bailly in the start lineup for Ivory Coast U23 against Spain U23 Olympics
Hakika mkuu,, mm nishachoka na pogba..Aondoke tu.
Hata martial ni mzr sn kushoto,,, bado anahitajika man u..Kwann tusipige martial then tumueke Gerlish
Mkuu utaficha wp aibu yako?FUNNIEST FACTS:
Between Chelsea FC and Manchester United signings;
Big money signings:
Chelsea FC;
Kai Havertz £72MUCL.
Morata £57MFA Cup.
Torres £50MUCL,UEL, FA Cup.
Kepa £71MUEL, UCL.
Werner £47MUCL.
Bakayoko £40MFA Cup.
Chilwell £40MUCL.
Manchester United;
Di Maria £60MWon nothing.
De Pay £35MWon nothing.
Maguire £80MWon nothing.
Wan Bissaka £60MWon nothing.
Fernandez £55MWon nothing.
Lukaku £75MWon nothing.
Sancho and Varane to join the list.
...
Mnatutisha na picha ..Hapa tukimpata DM world class... Itakuwa ni mwendo wa kuinuwa kwapa this time 2021/2022.
Varane ni beki kisiki partner na magwea itakuwa so hot.
Na Sancho mshambuliaji msumbufu .
Partner na rashford au martial itakuwa hatari sn..
Save my comment.View attachment 1877089
Hamna lolote subiri ligi ianzeHapa tukimpata DM world class... Itakuwa ni mwendo wa kuinuwa kwapa this time 2021/2022.
Varane ni beki kisiki,,
partner na magwea itakuwa so hot.
Na Sancho mshambuliaji msumbufu .
Partner na rashford au martial itakuwa hatari nzima na nusu.
Plus- el matador Cavan ,,itakuwa ni hofu tupu kwa timu pinzani zaidi ya hofu ya kuchanja chanjo ya corona.
I bet on man u this season.
Save my comment.View attachment 1877089
Mkuu hivi kwenye eneo limechorwa alama ya danger unaweza kuingia?Mnatutisha na picha ..
Unafikili hizo picha ndio zinacheza ,subili season ianzee uone moto wa epl