Duu,,mkuu hivi unazijuwa sifa za good striker ?Kwani Striker lazima afunge kwa kichwa ?
PSG wana watu wa kasi na uwezo mkubwa .PSG huwa anatumia double pivot pia wanadefence dhaifu?
Chukuwa huyu MTU,,,toa mtu ingiza MTU..Njoo kwetuView attachment 1842765
Nimeona hii video jamaa anaipenda sana kazi yake (anaweka sana logic kwenye taarifa pia kabla ya kuweka public).aiseee
Mbona kama namuona Chong, karudi home?
alitolewa kwa mkopoMbona kama namuona Chong, karudi home?
Niliwahi soma mahala kwamba aliyeharibu hili dili ni Giggs...Moyes na Ed walimuuliza kuhusu Thiago, Giggs akajibu sio Man united material na ni msaka fedha.Thiago called Rio about joining Man Utd, but Moyes and Woodward declined the transfer
Rio Ferdinand reveals in his YouTube channel that Thiago called him to ask Man Utd officials on his behalf about a potential transfer, after DDG gave him his phone number. Moyes and Woodward declined the transfer, and he ended up joining Bayern Munich for a fee of 25m euros instead.
Before Thiago left Barcelona, he called me... We played against Barcelona in the States on tour, and he was unreal. He was playing as the #10, and he scored a worldie.
So we knew about him anyway, and few years later, Moyes was manager. I don't speak to Thiago, I don't know him, but David De Gea gave him my number.
He rang me, and he said, "Rio, I would love to come to Man Utd. Can you speak to someone?"
He said to me, "I would love the opportunity to come to Man Utd. Is there anybody that I could or you could speak to see the interest?"
So I spoke to the people at the club, Moyes and Woodward. I mentioned it.
(He heard back) "We're already down the line with a couple of other signings. It's fine."
He was given 24 hours, Thiago, to make a decision. He ended up ringing me up next morning again, "I've slept on it, can you let me know about Man Utd, what's going on?".
He said again, "I've got 24 hours to make a decision, otherwise Pep won't take me to Bayern Munich".
He ended up going to Bayern Munich, and the rest is history
===========================
ahsante david moyes kwa kutuletea marouanne fellaini, mwanadamu mwenye ufundi mwingi kuliko zidane
Kumbe tusimhukumu Ole kwa ile kauli yake maarufu ya dna,hili suala linatoka mbali zaidi.Niliwahi soma mahala kwamba aliyeharibu hili dili ni Giggs...Moyes na Ed walimuuliza kuhusu Thiago, Giggs akajibu sio Man united material na ni msaka fedha.
Its shame tu jamaa hajaperform EPL otherwise angetuzodoa pia.Niliwahi soma mahala kwamba aliyeharibu hili dili ni Giggs...Moyes na Ed walimuuliza kuhusu Thiago, Giggs akajibu sio Man united material na ni msaka fedha.
Ni majeruhi tu yalimtoa kwenye mstari,tumpe msimu ujao,jamaa anajua mpira bana.Its shame tu jamaa hajaperform EPL otherwise angetuzodoa pia.
Kaja epl na umri ganiIts shame tu jamaa hajaperform EPL otherwise angetuzodoa pia.
I know unazungumzia age ila ukizingatia talent yake,I am sure watu wa liverpool watakwambia ame-underpeform hajafikia matazamio ya wengi.Kaja epl na umri gani
Tayari jua lishazama mwili ushachoka kumbuka na majeraha yamechangia
Sentensi yangu ya mwisho umeielewa naaminiI know unazungumzia age ila ukizingatia talent yake,I am sure watu wa liverpool watakwambia ame-underpeform hajafikia matazamio ya wengi.
Tunatoboa bila shakaTukiweza kutoboa hapa mwezi October na November mambo yatakuwa poa sana.View attachment 1843646
Bado naiona PSG ikiwa timu ya kawaida tuu.PSG wana watu wa kasi na uwezo mkubwa .
Wanawatumia neyma na mbappe kama wings.
Wana kasi na uwezo mkubwa wa kukokota mpira..
Pia wanatumia mfumo huo wakitafuta matokeo kwa kujilinda zaidi.
Man u anatumia wings gani?
Rashford kushoto ,,,kulia Daniel James ambaye anakimbia na kuuusahau mpira ulipo.
Huoni utofauti?
PSG wana watu wenye uwezo mkubwa kila idara wamekamilika..
Na siku wakiamua kufunguka hawachezeshi double DM.
Danny Ings siyo striker wa uhakikaNi kwl mkuu,,man u inasaka sign ya ings kimya kimya.
Man u lazima tuwe na striker 2 wa uhakika.
Man united wana Rashford kushoto ambaye ana pace nzuri kuliko wachezaji wote wa united na probably wachache sana wanaomzidi EPL, kulia tayari wana Jadon Sancho na Amad huoni kuwa kama issue ni pace tayari imeshakuwa solved ?PSG wana watu wa kasi na uwezo mkubwa .
Wanawatumia neyma na mbappe kama wings.
Wana kasi na uwezo mkubwa wa kukokota mpira..
Pia wanatumia mfumo huo wakitafuta matokeo kwa kujilinda zaidi.
Man u anatumia wings gani?
Rashford kushoto ,,,kulia Daniel James ambaye anakimbia na kuuusahau mpira ulipo.
Huoni utofauti?
PSG wana watu wenye uwezo mkubwa kila idara wamekamilika..
Na siku wakiamua kufunguka hawachezeshi double DM.
Ukiangalia mechi za PSG,PSG wana watu wa kasi na uwezo mkubwa .
Wanawatumia neyma na mbappe kama wings.
Wana kasi na uwezo mkubwa wa kukokota mpira..
Pia wanatumia mfumo huo wakitafuta matokeo kwa kujilinda zaidi.
Man u anatumia wings gani?
Rashford kushoto ,,,kulia Daniel James ambaye anakimbia na kuuusahau mpira ulipo.
Huoni utofauti?
PSG wana watu wenye uwezo mkubwa kila idara wamekamilika..
Na siku wakiamua kufunguka hawachezeshi double DM.