Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno mzee wa mapenalt masikini ya mungu hapewii,yote anapiga ronaldo..

ila ronaldo yuko na roho mbaya ,kwan hajui Bruno anajua kushoot penalty
 
Rasmi tumeingia kwenye vita ya kumsajili camavinga na wiki hii klabu itakutana na wawakilishi wa mchezaji huyo. Wapinzani wetu wakubwa ni PSG kwa sababu camavinga anapendelea kubaki ufaransa,
Camavinga ni mzuri sana aiseh japo physically sina uhakika sana nafikiri inaabidi apige mazoezi zaidi.....technically ni mzuri sana anapiga pasi vizuri, anadribble viziri, amefunga some goals pia....

PSG wamemsajili Gini Wijnaldum Sidhani kama watataka wamsajili na Camavinga.....ila ni mchezaji mzuri naamini anaweza kutusaidia sana....
 
Huyu PSG kwenye huu usajili ana nn lakini? Kila mchezaji wao wanamtaka.
Rasmi tumeingia kwenye vita ya kumsajili camavinga na wiki hii klabu itakutana na wawakilishi wa mchezaji huyo. Wapinzani wetu wakubwa ni PSG kwa sababu camavinga anapendelea kubaki ufaransa,
 
Bruno haonekani kabisa


Bruno Hanna kitu ,ni shati tu linatembea uwanjan
"Bruno hamna kitu"

One of the shitty line from a football fan. Enjoy this beautiful game while you still can. Nyeupe sema nyeupe na nyeusi sema nyeusi, kwa hiyo mentality yako kuwa mchezaji hata awe mkali vipi ila akiwa rival side tayari ni trash hutakaa ufurahie huu mchezo.

Hate aside Bruno anajua even your gaffer knows that too. Hata big players kama Ronaldo na Messi kuna game zinawakataa ila ubora wao upo palepale.

Cry some more.......
 
"Bruno hamna kitu"

One of the shitty line from a football fan. Enjoy this beautiful game while you still can. Nyeupe sema nyeupe na nyeusi sema nyeusi, kwa hiyo mentality yako kuwa mchezaji hata awe mkali vipi ila akiwa rival side tayari ni trash hutakaa ufurahie huu mchezo.

Hate aside Bruno anajua even your gaffer knows that too. Hata big players kama Ronaldo na Messi kuna game zinawakataa ila ubora wao upo palepale.

Cry some more.......
Portugal out ...!


Huyo Bruno arudi pre season tu
 
A.k.A con artist Buruno panenka huyu takataka ameshindwa isaidia timu yake kufuzu.

Eti ndo balon'dior material
 
We mkunduma kweli, kwaio bruno ndio kasabisha timu itolewe sababu yuko timu iliyokaa kwenye ubongo wako masaa yote unayoichukia..timu imepambana hadi mwisho halaf unakuja kusema nini hapa, mashabiki wengine mikunduma kweli
Ndio kasababisha boyaa yule ,anamaliza dakika anarukaruka tu uwanjani kudadekii
 
Latest info on Rennes -Camavinga- Manchester.

Screenshot_20210628-123101.jpg
 
Mtu wa namna hiyo pale United tulimpata ila Ole kwa ujinga wake mwenyewe akamwacha akaenda.
Ander Hererra ndiyo mchezaji aliyekuwa na discipline ya hali ya juu sana uwanjani kuliko mchezaji yoyote wa United kumshuhudia post Ferguson Era,

Alikuwa tayari kucheza namba yoyote uwanjani kufanya kazi chafu yoyote uwanjani ili timu ishinde.

Mourinho alimpenda sana Herrera kwa kazi kama hizo, wachezaji aina ya Herrera na Park siyo lazima acheze mechi zote msimu mzima wao wana mechi zao maalumu na mechi hizo ndiyo decisive kwenye kuamua hatima ya msimu wako kwenye ligi.

Herrera alifaa kuwa captain wa united siyo kuacha aondoke kwa free transfer.
Kocha anaondoa majembe anabakisha vilaza.

Akija kocha mwingine atataka watu wengine upya.

Tatizo la United lipo chini sana kuliko tunavyodhania.

Kuna wachezaji wameondolea hawakutakiwa kuondoka na kuna wachezaji wamebaki hawakutakiwa kubaki.
 
Kocha anaondoa majembe anabakisha vilaza.

Akija kocha mwingine atataka watu wengine upya.

Tatizo la United lipo chini sana kuliko tunavyodhania.

Kuna wachezaji wameondolea hawakutakiwa kuondoka na kuna wachezaji wamebaki hawakutakiwa kubaki.
Ole Alitaka wachezaji wajinga wajinga wawe wengi kikosini ili mbinu zake zinapofeli asionekane yeye ndiyo mwenye makosa.
 
Hataondolewa labda afanye vibaya sana
Sisi mashabiki na Media tutaquestion uwezo wake vizuri..achana na hii pressure mkuu.

Yaani let's say next season tunamaliza nje ya top four na bila kombe lolote..kitu ambacho kinawezekana vizuri tu,msimu wa 2022/2023 Ole atakuwa on the wheel?
 
Sisi mashabiki na Media tutaquestion uwezo wake vizuri..achana na hii pressure mkuu.

Yaani let's say next season tunamaliza nje ya top four na bila kombe lolote..kitu ambacho kinawezekana vizuri tu,msimu wa 2022/2023 Ole atakuwa on the wheel?
Kama atamaliza nje ya top four atafukuzwa ila ndani ya top four hatafukuzwa
 
Back
Top Bottom