Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Borussia dortmund wanatuchukuliaje?
borussia wanahitaji euro million 95 kwa ajili ya jadon sancho, kwanza man utd walituma euro million 75 lakini borussia wakakataa ofa hiyo. Taarifa za jana jioni zilizoandikwa na reporters wengi zinadai ya kwamba man utd walituma tena ofa yenye thamani ya euro millioni 85 (pungufu ya euro millioni 10). Taarifa za leo zilizozagaa mchana huu zinadai ya kwamba borussia wamekataa hiyo offer ya euro millioni 85.

Ile jeuri yetu ya zamani imekwenda wapi, nakumbuka sir alex alikataa kumpandia tena dau lucas moura baada ya waarabu wa PSG kuingilia dili lake, leo hii tunachezewa mpaka na timu mfano wa crystal palace na leicester city kwenye negotiations, hii ni aibu.

Nitaumia sana endapo klabu itashindwa kupunguza hata shilingi moja ya bei iliowekwa na borussia.
Borussia wanatuwekea ngumu kwa sababu wanahitaji wabakiwe na kiwango kikubwa sana cha fedha (man city watakuwa na mgao wao kwenye hili dili)

[Simon Stone] There is a 15% sell-on clause in the deal ManCity negotiated when they sold Sancho to BVB in 2017. This is across the total fee.

simon stone anaandika mchana huu
Simon Stone says our bid was rejected but we may not have to meet Dortmund's valuation.
 
bila ya shaka hii timu una historia nayo (iwe ni nzuri au mbaya)
wasiwasi wangu ilipofika sikukuu ya krismasi mzee wako alikununulia jezi ya man utd badala ya jeans ndio maana ukawa unaichukia hii timu.

teh teh teh
mzee wa takataka
Hahaha unajua mkuu hii timu Kila siku inajadiliwa hapa lakini hatuoni mabadiliko yeyote Yani. Kwa hiyo tunaiweka kwenye kundi la takataka tu maana hakuna jipya la maana litafanyika hapa.

Na wahusika wanaojadili hii takataka watakuwa ni matakataka pia.

Ndio maana nikauliza "Matakataka mnajadili Nini hapa?"
#CFC
 
sisi tukikaa sawa khofu yangu wenye thread zenu mutazikimbia.
kuwa na sifa ya utakataka hiyo ni faida kubwa sana kwenu
 
Declan Rice anamzidi nini Fred au Scot ?
 
Hahaha hii timu itaendela kuwa takataka tu Hadi hapo itakapopata wachezaji wa kueleweka. Na siyo Hawa wakina Rashid na bruno
kikosi chetu cha kwanza ni wachezaji wanne tu ndio hawana uwezo wa kuanza kwenye timu yenu
  1. wan bissaka
  2. victor lindelof/ harry maguire (kwa heshima ya thiago na cesar)
  3. scott/ fred (kwa heshima ya ngolo na jorginho)
  4. greenwood
huo utakataka unatokea wapi?
 
️CDM suggestion of the day: Joao Palinha

Age: 25 years
Club: Sporting Lisbon
Nationality: Portugal

Joao Palhinha is coming off the best season of his career after helping Sporting to win the Primeira Liga title.
Statistically, he is cited by FBRef.com to have won the HIGHEST number of tackles (68) in the Portugese League

WhoScored.com have rated him as the 7th best player in the league based on performances

His 3.3 tackles per game last season is significantly higher than, say, Declan Rice’s 1.8 per game.
Another point to note, Palinha is JUST "35.5million euros"on the market according to Record

Another CDM candidate that perfectly fits all criteria United are in need of and probably be one of the best cheap options available. #mufc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…