Kuna mashabiki wa timu pinzani mna mambo ya kipumbavu, mnaweza kufanya mambo bora zaidi ya kutania wazazi wa watu......mnang'ang'ania kwani humu ni vyumbani kwenu........as long as mnakuja kwa hoja na lugha chafu jamaa yupo sahihi kuwatukana.
Na sijaona sehemu Billions akimtukania mtu mzazi sio kama hawezi noo.
Mtu unakuta mara mapicha ya ajabu yana 300kb hata 20 hata maelezo hayana mara nyumbu etc mnaboa bhana.
mmechukua ubingwa hongereni mtulie majumbani kwenu sasa, mbona mashabiki wa Liverpool hawanaga mambo ya ajabu ya matusi hapa jukwaani.