Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu sasa wameshinda against city lakin wanajazana huku na matusi na vipicha uchwara utadhani tulicheza nao.
Mi naona watulie tu pale mwamba anapowatukana.
 
Halafu sasa wameshinda against city lakin wanajazana huku na matusi na vipicha uchwara utadhani tulicheza nao.
Mi naona watulie tu pale mwamba anapowatukana.
Ni kweli mkuu, Utani kwenye mpira haukwepeki ila wao wameleta chuki humu ndani na sio utani tena, hata maana ya utani wa kishabiki haupo,

ndio maana unakuta ni mara chache mashabiki wa humu ndani wanabishana nao maana hawaweki hoja bali ni matusi tu mtindo mmoja.
 
Ole hana Objective wala Strategy ya kutufikisha popote.

Kinachombeba ni wachezaji wanaolipwa hela nyingi na wana motivation ya kucheza mpira tu.

Ila upande wa tactics Ole is very empty.

No wonder alishusha Cardiff daraja.
 
Dahhhh yaan una compare Warner na lewandoski..Dahhhh am speechless
Wewe umeangalia eneo lipi la kufunga???

Umemtazama akiwa anasaka position ili mpira umfikie mikimbio yake tu na akidaka mpira ni balaa tupu....
 
Siumeona sasa, kulikuwa na ulazima wa kuingizia matusi kwenye picha yako?......Yes mmechukua ubingwa so what? sisi inatuhusu nini? Mlichukua ubingwa baada ya kuifunga man u au hili ni jukwaa la chelsea?
Billions akiwatukana wanamlipoti kwa mods wkt wao ndio wagomvi, badala waende kwenye jukwaa la City wamekuja humu, hata kule kwenye jukwaa lao wanaongelea man u, inashangaza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…