Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We huna akili, unafikiri majina ya wachezaji wakubwa ndio yanacheza? Haya hao PSG wamekosa ubingwa wa Ufaransa mbele ya kikosi ambacho hakieleweki kabisa. Niambie Lille Kuna mchezaji gani wa maana pale
Aiseeeh bora wapigwe leo waikose top four, alafu fainali UEFA wapigwe tena maana Wana mdomo sana
.

Yani TT ashindwe kupata mafanikio akiwa na kikosi kikubwa cha PSG aje atambe na Hii Cheltako?
 
Kwani Kuna mtu anabisha hapa Chelsea hatuendi kubeba UEFA??
Kama hauna akili timamu basi utabisha.
Na tutawashangaza wengi.
#CFC

Mimi mwenyewe siamini kama chelsea anaweza kukosa ubingwa wa ulaya labda waamue wenyewe lakin nafasi wanayo kubwa sana
 
Arteta mzee, umezingua hapo.

Angalia Moyes, alichokifanya ndio utajua Arteta hakuna kitu pale.

Angalau kwa kikosi kile alitakiwe awe hata nafasi ya Tano.

Kama umesema Arteta ana angushwa na owner .
Vp Pep ambae owner anampa kila kitu anachotaka?
 
Arteta mzee, umezingua hapo.

Angalia Moyes, alichokifanya ndio utajua Arteta hakuna kitu pale.

Angalau kwa kikosi kile alitakiwe awe hata nafasi ya Tano.

Mkuu west ham waliweka hela sana toka enzi za Slaven Bilić makocha tu ndio walikuwa wakizingua arsenal wale wamiliki wanapenda wachezaj wa bure na mikopo fuatilia usajili wa west ham mkuu arsenal kusajili had mashabiki wanune
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…