We huna akili, unafikiri majina ya wachezaji wakubwa ndio yanacheza? Haya hao PSG wamekosa ubingwa wa Ufaransa mbele ya kikosi ambacho hakieleweki kabisa. Niambie Lille Kuna mchezaji gani wa maana pale
Mkuu west ham waliweka hela sana toka enzi za Slaven Bilić makocha tu ndio walikuwa wakizingua arsenal wale wamiliki wanapenda wachezaj wa bure na mikopo fuatilia usajili wa west ham mkuu arsenal kusajili had mashabiki wanune
Ila na wewe punguza kuteseka mbona unahangaika sana? Yaani unakosa raha muda wote makasiriko utasema umenyimwa mali za urithi mpira furaha sio makasiriko
Yaani kuna watu wanafikir kushinda hapa na kutukana kunaweza kupunguza kitu kwenye ile base ya manchester united hata urukeruke na matusi juu kamwe huwez kuangusha brand ya timu
Ndio yale ya jiwe kuwachukia matajir akifikir masikini watainuka
Ila na wewe unapunguza kuteseka mbona unahangaika sana? Yaani unakosa raha muda wote makasiriko utasema umenyimwa mali za ulisi mpira furaha sio makasiriko