Nilikuwa nafuatilia mechi baina ya Real Madrid na Villarreal, aisee hawa Villarreal ni noma sana. Sioni mkitoboa kwa hawa jamaa kwenye fainali ya ueropa league.
Nilikuwa nafuatilia mechi baina ya Real Madrid na Villarreal, aisee hawa Villarreal ni noma sana. Sioni mkitoboa kwa hawa jamaa kwenye fainali ya ueropa league.