Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilikuwa nafuatilia mechi baina ya Real Madrid na Villarreal, aisee hawa Villarreal ni noma sana. Sioni mkitoboa kwa hawa jamaa kwenye fainali ya ueropa league.
Labda kesho apumzishe kikosi chote kwani nafasi ya pili hakuna wa kututoa
 
Hii timu toka ferguson aondoke hawana wanalofanya ,wanarukaruka tu uwanjan na kutembelea historian za wanaume ...

Hovyo kabisa

Miaka 4 ,zero trophies


Cityzen chairman .!
 
Tunakamilosha ratiba. Pamoja na yote, tupongezane nafasi ya pili tumeistahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…