Vyovyote itakavyokuwa Utd hawezi iacha Liverfool ipumue, yn Man utd kajifungisha mechi iliyopita kwasababu ya mechi ya leo alafu amuache hahahahaa leo ni vita mkuu, kadi nyekundu ipo
Washabiki wa Man United kwa mara nyingine tena wameandamana nje ya uwanja Old Trafford kuelekea mechi yao dhidi ya Liverpool kwa ajili ya kushinikiza familia ya Glazer kuiachia timu yao."
Vyovyote itakavyokuwa Utd hawezi iacha Liverfool ipumue, yn Man utd kajifungisha mechi iliyopita kwasababu ya mechi ya leo alafu amuache hahahahaa leo ni vita mkuu, kadi nyekundu ipo
Manchester United wanavutiwa na mlinzi wa Atalanta Muargentina Cristian Romero, 23, ambaye ameungana na mlinzi wa Lille aliye na umri wa miaka 21- Mholanzi Sven Botman na mchezaji wa Sevilla Jules Kounde, 22 , katika orodha ya wachezaji wanaosakwa na klabu hiyo ya Ligi ya Primia.