Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu, kwa mlioangalia mechi ya juzi, naomba kujuzwa kuhusu van de Beek.
Nimeona kwenye page ya Facebook ya Man Utd, watu wanamemponda sana.
Je ana potential yoyote?
Mfumo wetu haumfai?
Au tumepigwa za uso
 
Nyumbu kama Nyumbu toka lini mkawa wazuri kwenye usajili
Wakuu, kwa mlioangalia mechi ya juzi, naomba kujuzwa kuhusu van de Beek.
Nimeona kwenye page ya Facebook ya Man Utd, watu wanamemponda sana.
Je ana potential yoyote?
Mfumo wetu haumfai?
Au tumepigwa za uso
 
Wakuu, kwa mlioangalia mechi ya juzi, naomba kujuzwa kuhusu van de Beek.
Nimeona kwenye page ya Facebook ya Man Utd, watu wanamemponda sana.
Je ana potential yoyote?
Mfumo wetu haumfai?
Au tumepigwa za uso
Hamna potential hapa..auzwe tu kijana wa watu.
Hata tukisema tumpe muda hamna kitakachobadilika
 
Oya nyie nyumbu, Chelsea tunaomba mechi moja ya ligi kama nyongeza ila point zote 3 zitakuwa zenu hata kama Chelsea tukishinda.
 
Kuna wachezaji huwa natamani sana watue OT.

Jack Grealish,
hapa hata bwana mkubwa keane anaunga mkono.
Sema ndio hivyo nafasi anayocheza kwa ufasaha kuna mtoto wa nyumbani(Rashford) na Pogba.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…