Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli mkuu..

Waliousuka huu mpango wameshayaona haya ndo maana wanapush kwa nguvu sana hii ishu.
 
Kwa case ya Bayern munchen na timu kubwa za Germany imekaaje hii mkuu
 
Huu mpango unaonekana umesukwa kwa ustadi mkubwa na kwa muda mrefu sana.
Kama eufa/FIFA waliliona hili tangu mwanzo kwanini hawakuchukua hatua kuzuia mianya ya hawa jamaa kuwavuruga vibaya hivi? Kwa sasa inakua kama na wao ni sehemu ya huu mpango sema wanafunika kombe tu Ila baadae watakubaliana na hili.
 
★Wazo zuri mkuu hapa wangefanya kila baada ya misimu miwili au mitatu wanacheza hiyo Ligi yao huenda itawaingia watu akilini na kukubali hili wazo lakini wakisema kila msimu wacheze huu unyonyaji utakuwa mkubwa kati yao na hivi vilabu vidogo vidogo★
 
Breaking | Champions League and Europa League's matches canceled temporarily

| The teams can be kicked out of #UCL and #UEL with IMMEDIATE effect.

| If that happens.

-PSG will be crowned #UCL champions or the season will be called void.
-The #UEL final will be between Villarreal and Roma. ★

#GGMU
 
★Joel Glazer: "By bringing together the world’s greatest clubs & players to play each other, the Super League will open a new chapter for European football, ensuring world-class competition & facilities, & increased financial support for the wider football pyramid."★

#GGMU


manutd |
 
★European Super League:-


Chairman -
Florentino Perez [Real Madrid]
Vice-Chairman -
Stan Kroenke [Arsenal]
Vice-Chairman -
Andrea Agnelli [Juventus]
Vice-Chairman -
John W. Henry [Liverpool]
Vice-Chairman -
Joel Glazer [Manchester United]★

#GGMU


manutd |
 
UEFA say every club and player participating in the Super League will be banned from all UEFA and FIFA competitions. UEFA will sue every club participating €50-60 billion [SkySport]★

#GGMU


manutd |
 
★Super League: "Following the Group stage, 8 clubs will qualify for a knockout tournament, playing home and away until the single-match Super League championship, in a dramatic four-week end to the season"★

#GGMU


manutd |
 
BREAKING: The Super League clubs will not be kicked out from this season's European competitions. Real Madrid, Chelsea and Manchester City will compete in the #UCL and Manchester United and Arsenal will compete in the #UEL as scheduled..★

#josefelixdiaz
#Marca

manutd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…