Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bora tufungwe tu Ole afanye usajili wa maana.Man inahitaji class players kama wanne.
Ole naye ni msen.ge tu

Mechi ya kwenda nusu fainali unaanza na Telles kama full back dhidi ya Leicester?..unaanza na kilaza VdB??..Kweli?..Matic??

Na wiki ijayo hakuna mashindano..ni international break..unapumzisha watu..
 
zile sub 4 kwa mpigo nilijua tu mpira utachangamka kwa dk 5 tu halafu mambo yatakuwa vile vile ndo kilichotokea we kuanzia dk ya 1 mpaka ya 60 mpira umechezwa wa aina moja tu (haueleweki).

mnaotaka Ole apewe heshima yake ni kweli tunampa hiyo heshima lakini anajiondolea mwenyewe hyo heshima.

yani kocha ameshakariri hata akicheza na weak opponent bado atacheza na wakabaji wawili katikati, game ya Milan kamchezesha Pogba left side na akapafom vizuri kwakuwa ni mkaririji mzuri na leo akaingia nae hivyo hivyo.

Fred, Matic, De Beek, Pogba kwa kocha aina ya Solskjaer unategemea atafanya maajabu kweli??
 
Hili liteam litakuja kuuza watu kwa presha. Yani tumepigiwa mpira mwingi kama sisi ndio timu ndogo.
 
Huyo kocha wenu hawezi kufikisha timu yetu popote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je mlipo shinda gemu na Ac Milan mlisemaje ? Leo je? Basi hiz ni dalili za unyumbu
 
Bado hajafukuzwa tu


Lilikua zimwi la nusu fainali sasa ivi limekuja zimwi la robo fainali
 
Ole naye ni msen.ge tu

Mechi ya kwenda nusu fainali unaanza na Telles kama full back dhidi ya Leicester?..unaanza na kilaza VdB??..Kweli?..Matic??

Na wiki ijayo hakuna mashindano..ni international break..unapumzisha watu..
Lkn angalia pia mmetoka alhamisi kucheza futuhi Milan ...mkapumzika siku 2 ..so hapo lzm afanye rotation Tu kuwapa nafasi na wengine waonyeshe chenye wanachofanya😂......BTW hao kina telles na vdb mlikuwa mnawapigia chapuo kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…