Anaongezewa mkataba tena.
Kwangu mimi mwalimu mzuri wa kumpokea Ole ni Erik Ten Hag wa Ajax ni kocha ambaye anacheza mpira mzuri usio na chembe ya uoga.
Mwingine ni Gasperin wa Atalanta japo team yake huwa inaruhusu kufungwa magoli mengi sana kwa ligi ya Epl itabidi abadili mbinu.