Manchester United (Red Devils) | Special Thread

upo sawa kabisa lakn ebu niambie ww yale makosa anayo fanyaga ya Maguire unataka kusema kocha anausika au ni uwezo wa mcheza binafsi na kuto kuwa makini

Maguire alipokuwa leicester city alikuwa vizur sana kuna muda mbinu za kocha huwa zinaharibu viwango vya baadhi ya wachezaj huyo maguire alikuwa anakwenda city ila manchester united walimchukua haraka baada ya kuumia erick bailly kukawa hamna mbadala wa bek mwingine na ligi ilikuwa wiki moja kuanza kukawa na upungufu wa mabek ukiamuangalia rashford wa van gaal na huyu wa sosha na mourinho vitu viwili tofaut martial nae wa van gaal alikuwa fit shaw wa mourinho na van gaal alikuwa mbovu sana japo saiv kupandisha kiwango kidogo ni hivyo tu kule chelsea yule kante wa lampard alikuwa hovyo sana saiv yule mjeruman kajitahidi kumrudisha kundini
 
Mwambie ukwel huyo jamaa, City katuzid kila eneo, labda ile beki yetu ya kushoto na namba 10 yetu ndio inawazid ubora, ila baada ya hapo hamna kitu

Nikiangalia sisi tunavyocheza na vile rashford anavyokosa magoli bado anatakwimu nzuri sana mbele ya huyo dogo wa kibrazil wa city rashford angekuwa city na mpira wanaocheza ingekuwa habar tofauti wachezaj wetu wengi wanakuwa hovyo sana na mawenge hasa ukubwa wa timu na mashabiki kila kona na wachambuzi kuongea hivi manchester city wanapata wapi pressure? Unaweza kukuta hapa tanzania tu wana mashabiki 100 au 200 na hao wa kukodi hata wafanye vibaya nani anawazungumzia? Juzi pale kinondoni studio mshabiki wa arsenal kahama timu yake kahamia city anakwambia amechoka maumivu huyo atarudi siku arsenal wakiwa sawa liverpool walikuwa wachache sana timu yao ilipokuwa hovyo miaka hii 3 ya klopp umeona walivyorudi kwa kasi?

De Bruyne na Gundogan ndio wachezaj walio na sayansi ya mpira kwa city hao wengine ni mbinu bora za kocha

Wachezaj hao wa city ukimpa kocha mwingine hatoboi
 
Sasa Ole ndo inabidi afanye uliyosema na mwishoni tubebe kombe..

Kusema kuwa anamtengenezea mtu mwingine timu ni kudanganyana tu..na mfano wa Madrid na Zidane hautoshi kutuaminisha hili.
Ndio inabid apewe muda sasa, mbona hata klop alisuka kikos miaka 3+ wa 5 ndio kaja kuchukua kombe, Tumpe Muda
 
Mambo hayakua yanatiki matunda yake ndiyo unayaona sasa hivi.
Alikuwa anapanga kikoc anavyojisikia na kuweka mbinu zake za ajabu na anashinda, ila sasa hivi kikoc cha Morinyo kile kishapotea na hamna aliyetengeneza kikoc tena pale, mchek anavyohaha na kupigwa ovyo kweny mechi zake, mpka utashangaa eti ndio yeye aliyechukua UEFA mara 3 mfululizo
 
Nina wasiwasi pep anaangalia sana cd za Fergie enzi anatawala epl
 
Zizou lofa sana na kosa kubwa alilolifanya ni kurudi tena kuifundisha ile timu akaja kubeba ndoo kwa kubebwa mechi za mwishoni mwishoni.....
 
Utakuwa na mataizo ya akili Ederson ni noma hadi ana Assit Degea ni overrated
 
Fred ni DM wakati Thiago ni CM
 
Kumbuka pia Bruno na Pogba partnership yao imeshafeli kwa sababu timu inakosa ulinzi kwa sababu Pogba ni reckless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…