Ni jambo la kikuma sana ! Wachezaji asilimia kubwa wanajiona mastaa wanatembea kwa kunata uwanjani, yani wanacheza kana kwamba msimu ukiisha watapewa tu ubingwa, waendelee kusubiri mammbwa, yani sisi wapenzi ndio tunaoumia sana, achana na mashabiki maandazi ambayo muda wowote yanaweza kuhama, ila ed na bodi wanamlinda kocha, wamiliki wamejificha kama hawapo vile, Mimi sijui tu, yani sahivi ukiingia old Trafford ni kama umeingia kucheza na fulham
Hii timu naipata miaka 5 ndio itaweza kuchukua EPL ..!
wachukue kocha wa atalanta rafael toloi au lille christophe galter au leicester city brendan rodgersJamhuri Kiwelu aka Julio huyo atawafaa kwa sasa hahaha
Mimi sio shabiki maandazi kama wewe unayehamia kila timu kama hedhi kwa kila mwanamkeManure sio ndugu yako ukiona anakutesa hamia kwenye raha tu
Mimi sio shabiki maandazi kama wewe unayehamia kila timu kama hedhi kwa kila mwanamke
Nadhani mimi peke yangu ndio siendi nao sawa humu....tushinde tusishinde huwa nauliza "bado hajafukuzwa tu"Mashabiki wa h timu bhanahali ikiwa mbaya mnalalamika sana Ila mkishinda game moja bc shida zote mnasahau
Nishajibu huko juu.....kutoka kuongoza ligi kwa pointi moja hadi kupinduliwa kuongozwa wewe kwa pointi 14..... Hata kichaa hawezi kukuelewa hapaHili swali nilishauliza sana humu ndani halijatolewa jibu.
Ze-dudu mwenyewe huwa hajibu sasa sijajua huwa anataka afukuzwe timu ibaki bila kocha sijui.
HapaHili swali nilishauliza sana humu ndani halijatolewa jibu.
Ze-dudu mwenyewe huwa hajibu sasa sijajua huwa anataka afukuzwe timu ibaki bila kocha sijui.
Hii" we should not be considered even title chasers"
This statement shamelessly ended our season.
Mkuu kwa mpira wa kisasa ulivyo mahitaji ya kimbinu ni makubwa sana toka benchi la ufundi kuliko nyota ya home grown inayo mbeba Ole pale Traffolds. Kimbinu na kiufundi Ole ni mweupe kama karatasi hivyo tunahitaji mtu mwenye uelekeo mzuri kwenye maeneo hayo.
1. Nagelsmann.
2. ARTETA
Kwa uwezo gani alionao.Acheni shobo huyo arteta ana miaka 30 pale emirates. HAUZWI
aliulizwa kwanini hukufanya sub ya 3Alipomtoa cavan na kumuingiza james kweli niliona kituko sana
Kama ni hao ulioewataja basi hakuna kocha sokoni anayeweza kutuondoa hapa tulipo.Mkuu kwa mpira wa kisasa ulivyo mahitaji ya kimbinu ni makubwa sana toka benchi la ufundi kuliko nyota ya home grown inayo mbeba Ole pale Traffolds. Kimbinu na kiufundi Ole ni mweupe kama karatasi hivyo tunahitaji mtu mwenye uelekeo mzuri kwenye maeneo hayo.
1. Nagelsmann.
2. ARTETA
Unaweza kututajia mmoja ambaye atatutoa hapa ?Nishajibu huko juu.....kutoka kuongoza ligi kwa pointi moja hadi kupinduliwa kuongozwa wewe kwa pointi 14..... Hata kichaa hawezi kukuelewa hapa
Wapo mbn kina Frank Rijkaard, Diego Simeone, n.k, hao wawili niliowataja ni wazuri mara 100 ya huyu mmasai.Unaweza kututajia mmoja ambaye atatutoa hapa ?