Zama zimebadilika..Fergie kwa recruitment iliyokuwa inafanyika kipindi chake cha mwisho angekula spana mpaka akubali mwenyewe.Furgusson hakuwa na timu nzuri kama hii lakini alikuwa akibeba makombe
Safi sana Pep.Wachezaji wengi pale wanahitaji mtu mkali asiyetaka mchezo. Babu Fergie unamsifia hapa kujua kuendeleza vijana alikuwa hai-entertain upuuzi alishawahi kumfokea Jonny Evans wazi wazi dhidi ya Ac Milan mwaka 2008 alitoa boko ilikuwa mechi ya UEFA.
Pep Guardiola hana mchezo nae ni mkali mno. Angalia hapa chini jinsi dressing room ya City kunavyowaka moto watu wakiwa wanafanya ujinga uwanjani.
Mkuu unatakiwa ufikirie kwa kina.Darmian & Daemusin,
Sioni timu ikiwa imara kama tukiendelea kutumia viungo wawili eneo la ulinzi tunakuwa dhaifu sana offensively.
Ole inabidi abadili mbinu unaposhindania mashindano yenye mechi nyingi mbinu ya kujilinda haiwezi kukupa mataji hata siku moja. Sare sio ushindi.
Ole ni mwalimu mzuri ameweza Ku expose weakness za Chelsea na Tuchel. Tumpe heshima yake ktk hilo. Amekuja darajani na approach na Tactics ambazo zimefanya kz na Chelsea had to suffer the whole first half. Ktk game 9 alizocheza Tuchel hajakutana na kikwazo kigumu km jana. Yaani ata Spurs na Mourinho walishindwa na ata ATM na Simeon walishidwa lkn Ole kafanikiwa sn. Tumpe heshima yakeVitu vitatu vilivyotukosesha ushindi leo:
1. Tumenyimwa penalty ya wazi pamoja na VAR kutumika.
2. Ole Gunnar Solskjaer ni kocha wa kawaida sana, United ina wachezaji wakali ila mpira wanaocheza ni kituko.
3. McTominay katulaza na viatu kama mdogo wake Rashford alivyofanya kwenye game ya Liverpool pala Anfield. Nilitegemea Scott atapiga mpira wa juu kwenye ile counter attack badala yake akapiga chini ukaishia miguuni mwa mabeki wa Chelsea.
Chelsea leo wametuzidi karibia kila kitu uwanjani, ni wazi unaona mabadiliko yao kiuchezaji chini ya Tuchel. Hapa kwa Ole tutasubiri sana.View attachment 1714270
Angekua Antony Taylor au yule mpuuzi alotishiwa maisha Mike dean hii game mngeshinda. Wao ndio hua hawaoni haya kuonesha mahaba ya waziwazi kwenu.Vitu vitatu vilivyotukosesha ushindi leo:
1. Tumenyimwa penalty ya wazi pamoja na VAR kutumika.
2. Ole Gunnar Solskjaer ni kocha wa kawaida sana, United ina wachezaji wakali ila mpira wanaocheza ni kituko.
3. McTominay katulaza na viatu kama mdogo wake Rashford alivyofanya kwenye game ya Liverpool pala Anfield. Nilitegemea Scott atapiga mpira wa juu kwenye ile counter attack badala yake akapiga chini ukaishia miguuni mwa mabeki wa Chelsea.
Chelsea leo wametuzidi karibia kila kitu uwanjani, ni wazi unaona mabadiliko yao kiuchezaji chini ya Tuchel. Hapa kwa Ole tutasubiri sana.View attachment 1714270
Bruno Fernandez alikuwa targeted na wachezaji wawili wa chelsea Kante na Kovacic asingeweza kufanya vizuri katika mazingira kama hayo hasa ukizingatia Fred na Scot siyo midfielder wenye uwezo mkubwa wa kuposses mpira.Bruno Fernandes' game by numbers against Chelsea:
20 x possession lost (most)
4 x dribbled past (joint-most)
1 chance created
0 shots on target
0 take-ons completed
Kwani anacheza Bruno Fernandez peke yake uwanjani ?
Mkuu waache tu kwn umesahau enzi za CR7?Kwani anacheza Bruno Fernandez peke yake uwanjani ?
Kante na Kovacic hawakua wanamlenga Bruno.Bruno Fernandez alikuwa targeted na wachezaji wawili wa chelsea Kante na Kovacic asingeweza kufanya vizuri katika mazingira kama hayo hasa ukizingatia Fred na Scot siyo midfielder wenye uwezo mkubwa wa kuposses mpira.
Na hii hapa VAR ilikuwepo lkn ata kadi haikutolewaAngekua Antony Taylor au yule mpuuzi alotishiwa maisha Mike dean hii game mngeshinda. Wao ndio hua hawaoni haya kuonesha mahaba ya waziwazi kwenu.
Chri Cavanagh was fair mno.View attachment 1714524
mkuu hujawahi kutishiwa kipigo na wahuni wa huko?Punda wa Muembe Makumbi? Umenikumbusha mitaa yangu ya kitambo sana wakati huo nikielekea maruhubi kuogelea.
hahahahaaaaaaaa sema jamaaa alikuwa ni nunda (mbishi).Zama zimebadilika..Fergie kwa recruitment iliyokuwa inafanyika kipindi chake cha mwisho angekula spana mpaka akubali mwenyewe.
Lakini uliona jinsi Bruno kila akipata mpira hao kina Kovacic walikuwa wanakifanya ?Kante na Kovacic hawakua wanamlenga Bruno.
Ole alimuweka Bruno hapo juu acheze nyuma ya Rashford ili kuwavuruga Kante na Kovacic ambao Mara nyingi mashambulizi ya Chelsea huanzia kwao. Na Bruno alifanikiwa hilo hadi hao viungo wakawa wanapoteza pasi.
Na Fred na McTomnay hawa walichezaja chini kutibua mipango ya kina Meson Mount na Zyench au Odoi. Na mipira yote iliyokua inaelekea kwa Mount au Zyench hawa kina Fred waliidhibiti na kuipush Chelsea nyuma kabisa.
Kwahiyo wachezaji wa UTD walifanya kile ambacho Ole alikua kawaelekeza
Izi mechi za kamkumbe kamkumbe pogba ndio pengo lake laonekana pale.....Kuna vichezaji flani flani tunavyo pale man u vinakera sn, mwanzo alikuwa Fellaini na Lingard now vimebaki hivi viwili na sidhani kama vitaondolewa labda tubadili kocha.
FredKocha siye aliyekuwa akifanya usajili. Yeye aliagiza supu ya kuku kaletewa ya samaki. Usajili wa Fred ungefanywa vema lisingeendelea kuwepo pengo lililopelekea Man kumsajili Fernandes.
point yangu ni kuw pep guardiola nd alimtaka fred ila morinho alifanya mbinu ili amuharibie mwenzie sio kwamba alimuhitaji kwa matumizi yake. Kma alivofanya kwa sanchez maan cty nd walikuwa na nafasi kubwa na ilidhihirika maan tunmjua sanchez timu alizocheza morinho asingeiweza falsafa yao. ko point yangu kama pep alimtaka fred kwahyo usidhani wachezaji wa cty kwamba wa ajabu sana ila wana kocha bor.mourinho hakuwahi kumuhitaji fred
Usijidanganye ndugu fergie alikuwa anaweza kushindana na timu yoyote ile hadi sasa. Em fikiria alichoamua kufanya mwishoni aliwamotivate tom cleverly na carrick kujiona Xavi na Iniesta halafu akawa mbele ana magame changer rooney na mwenzie Van Persie. Sometimes huhitaji kikosi kikubwa sana kushinda mataji. unatak kunambia henderson na wijnadium wana maajabu gani sana mpaka wakabeba kwa gap la rekodi. Klop ananikumbusha sana fergie times motivate wachezaji wa kawaida kucheza role flani halafu sajili magame changer then boom.Zama zimebadilika..Fergie kwa recruitment iliyokuwa inafanyika kipindi chake cha mwisho angekula spana mpaka akubali mwenyewe.
Sema good thing ni kwamba Babu asingekubali upuuzi wa kina Martial na wapuuzi wenzake..that's a thing for sure
ana mkataba wa miaka 2.Bado hajafukuzwa tu...
Numbisa nakuomba uweke goli la Bruno tu hapa alafu umpe na ulinzi tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Numbisa umelala?