





mpaka dakika 27 alikuwa amegusa mpira mara 13 (mipira 5 pungufu ya aliogusa david degea), nafasi ndogo tu aliyopata amewaadhibu everton
Usisahau kumuangalia mcTomy mkuu anacheza vzr mnooooo.Greenwood wa moto sana yaani sana kwa leo
Lile goli la bruno fernandez zuri sana
Ndo alivyo huyu anaiga njia za kaka yakempaka dakika 27 alikuwa amegusa mpira mara 13 (mipira 5 pungufu ya aliogusa david degea), nafasi ndogo tu aliyopata amewaadhibu everton




Formula yake ndo inatumika kuanzisha kampuni kama Qnet.Goal la Bruno unaweza kuombea mkopo.
yule kaka mkubwa anatisha sana.
Perfection imezingatiwa, makosa machache mnoo, yn tunacheza na Everton lkn km tunacheza na Ipswich townLeo timu yetu imecheza kwa ubora sana mpira umeeleweka




Msimu wa Embe huu ngedere akikonda ni kujitakia.


kwa kweli