Mourinho ni serial winner. Kutimuliwa ni miongoni mwa mambo yanayomjenga na kumkomaza. Mimi mwenyewe shabiki wake nilitimuliwa kazi siku aliyotimuliwa United. Sasa unategemea nini hapo. Nitawaza kweli Jose kutimuliwa Spurs!
Kwahiyo utamfuata huko aendako?
Mkuu utakufa kwa pressure bure, rudi home kumenoga.
Huyo Morinho hana maajabu yeyote na kuhakikishia, mwisho wa picha utamsikia yuko China, anacheza kareti.
Kwahiyo utamfuata huko aendako?
Mkuu utakufa kwa pressure bure, rudi home kumenoga.
Huyo Morinho hana maajabu yeyote na kuhakikishia, mwisho wa picha utamsikia yuko China, anacheza kareti.