Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Reina ameshakuwa garasa ndio maana Liverpool wamemtimua,kwa umri wake De Gea is the best

Haya majamaa uwa yanaongea tu bila stats zozote...mimi nayawekea stats ili kuziba midomo yao...

eplindex.com/17437/david-de-gea-future-united-legend-statistically-compared-rivals.html
 

Attachments

  • 8112bd8940923588bc11541fb2d6cb65.jpg
    8112bd8940923588bc11541fb2d6cb65.jpg
    55 KB · Views: 86
pepe reina tu hamfikii msilete ndoto zenu hapa!
Huyo labda wazeeke wastaafu hawa waliopo reina,casilas,valds lakini kwa sasa hata vito manone ni mzuri zaidi yake

De Gea ni the best hao unaowasema kina Casilas enzi zao zimeshaisha kitamba ndo hata pale Madrid hana chake tena, Valdes ni kipa wa kawaida sana kinachomsaidia ni timu nzuri ambayo inashambulia sana na kupunguza attacks kwake, Reina anaelekea mwishoni sasa
 
It was all about 3 points blud...and winning ugly is Man United's style...

Oh! Look who is talking? Goons won at the Stadium of Light thanks to the referee shambolic decision to disallow Jozy's goal...

So now it is about roller coaster rides, uh!? What is next?

Get used to it blud...don't be an anorak to United like Wacha1 makelele..

ImageUploadedByJamiiForums1381067899.480231.jpg ......winning ugly ee?! heheheh!

Mwaka huu "mtazoea" tu....
 
Last edited by a moderator:
Tutazoea nini? Mbu

Winning uglier? Mbona hiyo ndiyo kawaida yetu!!

Nyiye hamjazoea tu miaka yote hiyo ya ukame wa makombe?!?

Naona unahangaika ni vijipicha vya kujitengenezea...

Hivi umemwona Wheelchair a.k.a the smoker?!? Nasikia Arseno Chenga kampiga biti...ndio maana kafulia sasa huyo Wheelchair...
 
Last edited by a moderator:
Tutazoea nini? Mbu

Winning uglier? Mbona hiyo ndiyo kawaida yetu!!

Nyiye hamjazoea tu miaka yote hiyo ya ukame wa makombe?!?

Naona unahangaika ni vijipicha vya kujitengenezea...

Hivi umemwona Wheelchair a.k.a the smoker?!? Nasikia Arseno Chenga kampiga biti...ndio maana kafulia sasa huyo Wheelchair...

......aaa bana yaani unajisahaulisha kusudi au ndio "ushazoea" mapema yote hii,

...mtazoea tu machungu ya kufungwa fungwa!
 
Last edited by a moderator:
It was all about 3 points blud...and winning ugly is Man United's style...

Oh! Look who is talking? Goons won at the Stadium of Light thanks to the referee shambolic decision to disallow Jozy's goal...

So now it is about roller coaster rides, uh!? What is next?

Get used to it blud...don't be an anorak to United like Wacha1 makelele..

Tell them brother!
 
Mbu kama nyiye mlivyozea machungu ya kukosa kikombe hata cha mbuzi kwa miaka nane!!!

Smoking is dangerous for man's health..Wheelchair is a good case...anarukaruka na kuangukaanguka tu uwanjani...
 
Last edited by a moderator:
Most Passes Yesterday (Accuracy)

Carrick 116 (88%)
Medel 98 (89%)
Gerrard 85 (87%)
N'Zonzi 85 (89%)
Silva 83 (90%)
Henderson 75 (92%)
 
Most Tackles Won Yesterday

Cleverley 8
Jedinak 8
J.Ward 7
Henderson 7
Zabaleta 6
Roberge 6
 
Mbu humu baridi tu...kule kwenu joto linazidi kupanda...jana BAK hakuendelea kutoa updates, sijui alikuwa na wageni na jana?!?

Wacha1 makelele alianza kusema WBA wana nguvu ya soda, oh, kuna goli 2 za Goons, oh, tutachukua points 3 zetu za muhimu.

Mara boooomm!! Wakaanza kulalama eti refa amewaminya!! Nikawaambia, karma is a bitch...wao walibebwa na uamuzi wa kijinga wa refa kukutaa goli la Jozy wa Sunderland..hilo wamelisahau....

Wakaanza kudai kwamba wanahitaji dirty midfielder!! Nikashangaa, inamaana Nemo a.k.a Dozil hawafai mara hii!!? Au kwa kuwa alifunikwa bovu na Mulumbu?!?

Hiyo ni droo tu...mkipigwa nyiye mtaanza kumkana Arsene Chenga....jana social media zote kulikuwa tuli...Goons walinywea hao..siku mkipigwa kutatokea shutting down ya servers..
 
Last edited by a moderator:
Mbu humu baridi tu...kule kwenu joto linazidi kupanda...jana BAK hakuendelea kutoa updates, sijui alikuwa na wageni na jana?!?

Wacha1 makelele alianza kusema WBA wana nguvu ya soda, oh, kuna goli 2 za Goons, oh, tutachukua points 3 zetu za muhimu.

Mara boooomm!! Wakaanza kulalama eti refa amewaminya!! Nikawaambia, karma is a bitch...wao walibebwa na uamuzi wa kijinga wa refa kukutaa goli la Jozy wa Sunderland..hilo wamelisahau....

Wakaanza kudai kwamba wanahitaji dirty midfielder!! Nikashangaa, inamaana Nemo a.k.a Dozil hawafai mara hii!!? Au kwa kuwa alifunikwa bovu na Mulumbu?!?

Hiyo ni droo tu...mkipigwa nyiye mtaanza kumkana Arsene Chenga....jana social media zote kulikuwa tuli...Goons walinywea hao..siku mkipigwa kutatokea shutting down ya servers..

......shutting down ya servers? Hehehe.... Wewe kama unamchokoza Invisible shauri yako,

Wenyewe weshajizoelea na #Chelsea yao....
 
Last edited by a moderator:
article-2448473-188BB26400000578-97_634x415.jpg


Manure new diver ..... ... Januz


article-2448473-188BB27C00000578-702_634x423.jpg


Januz a new cheater .... ...... ..

 
Mshaanza kupagawa na huyu dogo na atawafanya mbaya sana tu

Kwisha habari yenu tangu Young diver alivyojiunga na mashoga hakuna kitu na vile basi Fungie aliondoka na Brown envelopes zote kwisha habari yenu khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hata marefa chacha wamewashitukia mtakoma .... ...
 
Kwisha habari yenu tangu Young diver alivyojiunga na mashoga hakuna kitu na vile basi Fungie aliondoka na Brown envelopes zote kwisha habari yenu khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hata marefa chacha wamewashitukia mtakoma .... ...

Nyi mna nn? Hamna lolote unajichekesha lakini ukweli unaujua wazi kwamba hamna lolote na hamfiki mbali kelele zenu zitaisha kabla hata ya Xmas
 
Back
Top Bottom