Ila kwa yote kajitahidi sana kuleta umoja kwenye timu miaka mingi sana ilikuwa inshu hakuna kocha ambae angeweza kumudu vurugu za pogba na wakala wake kama sosha
Kila siku nitampa sifa hiyo na uchezaj umekuwa mzur hii timu kufunga goli 5 ilikuwa inshu lakin kwa sasa jambo la kawaida sana watu wanakula hadi 9