Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umemaliza..

Tatizo watu wanadhani labda tuna ishu personal na Rashford..Tunataka abadilike
 
Rashidi hajui kufunga magoli ya kideo mara nyingi anategemea mashuti tu, ila co mchezaji mby cz anajua how to dribble but kwenye kufunga hapana, anatumia nguvu hata sehemu ya kuinua kidogo tu.
 
Nyingi ni za nje ya box,krosi n.k..Rashford akipata mpira ndani ya box pasi hatoi yule dogo,hadi anyanganywe mpira..au afanye maamuzi too late ambapo tunakuwa tumeshapoteza nafasi ya kufunga
Kwahiyo mnatzotaka ni zile za ndani ya box ?
 
Na hyo one on one ndiyo inayomtofautisha real striker na mbahatishaji.

Hakuna mech iliniuma kama ya sevilla mwaka jana yy na martial walikosa goli nyingi sana za wazi kisha tukatolewa mech ilikuwa na goli 5 za wazi tokea hapo nikatambua striker muhimu anahitajika magoli wanafunga goli moja ktk mech 6 au 7 hizo zingine anafunga nani?

Greenwood mech ya mwisho kufunga ni FA na liverpool had leo kimya martial leeds kama sijakosea rashford ndio hiyo europa tutakaa mech 5 atafunga tena unaweza kuwa na striker wa aina hiyo?

Assist hata erick bailly anatoa na lindelof
 
Shida ni kwamba Greenwood hapati clear chances mara nyingi km hawa wajinga wawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…