Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manu wanatiririka backward!

Like this??? U mean??
ml4f88.jpg
 
Chifu, viwango vya wachezaji vina poromoka viwango wachezaji vinakuwa.

Kama wewe unaona hakuna tatizo sawa.

Mimi ni ManU kama wewe, kila mtu na mtazamo wake, mie binafsi huo ndiyo mtazamo wangu.

Upo sahihi kabisa mwache huyo Nzi keshapigwa na dawa ya Rungu anaweweseka tu!! Karibu timu nzima ilikuwepo mwaka jana lakini mbona bado mwaka huu haifanyi vizuri? Kuna shida with players!! No spirit,no team work wanajichezzea tu sasa hembu angalia lile goli...very POOR DIFENDING,sijawahi ona from MAnUre
 
Last edited by a moderator:
Chifu, viwango vya wachezaji vina poromoka viwango wachezaji vinakuwa.

Kama wewe unaona hakuna tatizo sawa.

Mimi ni ManU kama wewe, kila mtu na mtazamo wake, mie binafsi huo ndiyo mtazamo wangu.

Kweli...tatizo lipo..naona lipo kwa wachezaji...hapo mtamlaumu kocha vipi?

Kama viwango vimeshuka, wakalaumiwa na nani?

Anyway...mambo yataenda poa tu...
 
Sasa hivi kila team itakayocheza na ManU inaonekana inajua.
 
Upo sahihi kabisa mwache huyo Nzi keshapigwa na dawa ya Rungu anaweweseka tu!! Karibu timu nzima ilikuwepo mwaka jana lakini mbona bado mwaka huu haifanyi vizuri? Kuna shida with players!! No spirit,no team work wanajichezzea tu sasa hembu angalia lile goli...very POOR DIFENDING,sijawahi ona from MAnUre

Mimi kama ni kusema tatizo lipo kwa wachezaji, nakubaliana nanyi...ila sikubaliani na wale wasemao Moyes ndiye tatizo...

Dk. 53
 
Last edited by a moderator:
Sasa Sunderland waache kupaki basi...nafikiri watafunguka sasa...

55 min
 
Kweli...tatizo lipo..naona lipo kwa wachezaji...hapo mtamlaumu kocha vipi?

Kama viwango vimeshuka, wakalaumiwa na nani?

Anyway...mambo yataenda poa tu...
Chifu, labda kwa upande wako tatizo ni nini ManU?
 
Chifu, labda kwa upande wako tatizo ni nini ManU?

Kocha mpya na benchi la ufundi jipya...mfumo na tactics mpya...muda unahitajika wachezaji waelewe na kocha awaelewe...ofkozi nyongeza ya wachezaji katika beki na kiungo itahitajioa Januari kuimarisha timu..

Pili, chifu wewe kama shabiki wa Man United, siyo vyema kuita timu Man U...nimeshaeleza humu sababu...jina hilo ni kejeli kwa timu.
 
Back
Top Bottom