Half time 1-0
Sidhani kama sunderland wataweza kuvumilia.
Japo wanaonyesha uhai kidogo.
Chifu...they were there too last season...
Usiwe kama hujui mpira ...hembu jaribu kumuelewa anachokuambia Ritz, Beki mbovu hao watu hawawezi kuiunganisha timu...kwani ye kasema mwaka jana hawakuwepo? TEam imekosa communication sio mbele kati wala nyuma, na msipoangalia mechi hii nayo mnainamishwa kibra!!
Chifu, viwango vya wachezaji vina poromoka viwango wachezaji vinakuwa.Chifu...they were there too last season...