Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo wa juu asirudi kabisa huku.

Mkuu jana lingard kacheza vizur sana pengine timu inahitaj ma center foward wenye nguv kama antonio ili hawa watu kama wakina lingard waweze kung'ara.

Pia tunahitaji sana mtu Jack Grealish yaani tusipomsajili mtu kama huyo ntashangaa sana jana nilikuwa naangalia mech yao marudio aisee yupo vizur sana huyo ndio sababu Ollie Watkins anafanya vizur sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…