Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo hawa vibonde wameshinda vimechi viwili wameanza kujiona ni team inayoeleweka, wamesahau juzi tu walikua kwenye relegation zone.
 
Tangazo tangazo

Mnaoingia msibani kwenye huu uzi, hatusafirishi.
Tunazika makaburi ya magereza. Asante
 
Ivi mtu we! Ikatokea tukakufunga utaweka wapi sura yako?
Saa mbili sio mbali
Leo ni mwendo wa fimbo tu, hakuna neno "ikitokea" kwenye kamusi ya arsenal

Leo mnakufa 3

Kama mkikata viuno vizuri ata 5 mnakufa
 
Pogba, Bruno, tommy, Fred

Hao wote wamewekwa kupambana na partey


Leo mtapigishwa kila style hakuna rangi mtaacha kuona manyumbu
 
Hahaha sawa sawa pepeta mchizi wangu ..ila man u achananayo njoo Chelsea huku, utapiga jiwe hatari zaid ya mzee Laizer
 
Wale ndugu zangu wa Arse8 tujuane mapema.
Nasema hivi ..wale wa Arse8 tujuane mapema...

Au nasema uwongo ndugu zangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…