Chimbo hili mkuu ni JITEGEMEE sio MAKONGO no cha Mwajiri no cha tajili.
Ukiyapa yako na ulio fanya nao kazi, ukiyakosa unaendelea kutubu, no kula mpaka suruali inapasuka.
Mbaya zaidi ukikamatwa polini ni jela miezi 6 bila msamaha.
Kiufupi mkuu huku ni kama jela ya kujitakia tu.
Utamlaumu nani na shule tuliona uzushi?
Ngoja tuondelee kukaza.
Nawaombea Wachezaji wetu watupambanie sana Leo na kwa ubovu Wa hiki kitimu cha arsenal tutakizabua tu, mana naamini kocha hatokuwa na msaada tutapokuwa ktk mazingira magumu. Natabiri Edinson Cavan kuweka Leo!
Arsenal..london babies watakufa goli 3 leo hii, Martial ,Rashford na Cavani watatupia hizo kamba..Bruno Magnifico atatoa assist 2..na Arsenal watarudi rasmi kwenye mbio zao za championship
Arsenal..london babies watakufa goli 3 leo hii, Martial ,Rashford na Cavani watatupia hizo kamba..Bruno Magnifico atatoa assist 2..na Arsenal watarudi rasmi kwenye mbio zao za championship