Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama ilivyo kawaida usiku wa deni haukawii kukucha

Mje na mafuta

Mje na lingard

Mje na ambulance

Mje na mzee Ferguson


Mkipigwa chini ya 3 nahama huku chato
Hawa leo hazipungui tatu,watajitahidi kupunguza idadi lkn tatu ni lazima zifike
 
We jamaa unetamba sana week hii, ila leo ndio mwisho wako.
Kama ilivyo kawaida usiku wa deni haukawii kukucha

Mje na mafuta

Mje na lingard

Mje na ambulance

Mje na mzee Ferguson


Mkipigwa chini ya 3 nahama huku chato
 
We jamaa unetamba sana week hii, ila leo ndio mwisho wako.
Dakika 90 za game ntakuwepo hapa

Niliekua namuhofia n Southampton, ile ndio big match yangu. Na unajua nini kimempata. Asante
 
Inatokana na game yenyewe.
Game na aseno ni kama sikukuu (nikishinda) au msiba (nikifungwa) siwezi kosa labda inikute kwenye machimbo ya mbali na mjini.

Istoshe niliingia jana usiku nimerudi leo asbuh na vidini vya kula.
Mzee siku ya gemu kama leo huwa huingii chimbo ndichi?
 
Juzi ni kama mlipakwa mate tu... Leo inateleza kama nyoka pangoni


#COYG
#COYG
 
Arseno wanapiga pale pale kwenye mshono, kidonda hakijapona vizuri.

Kama sosha ana akili timamu leo aingie kupak bus.
Ikifika dakika ya 50, amtoe rashford aongezeke beki, maana kuanzia muda huo arsenal anakuaga kama mnyama mmoj hatari sana

Asimuweke Bruno, why? Kwasababu Bruno n mchezaj mzur timu ikicheza au kushambulia. Ukabaj Bruno atakua mzigo na mtaishia kumtukana tu

Asimuweke Pogba, why? Nimegundua pogba huwa anafurahi sana pale anafungwa na arsenal, huyu jamaa ata kuwa gunner


Asimuweke degea,
Najua wote mnajua jinsi gani degea huwa anamuachiaga tu xhaka magol


Ni ushauri ili game iwe fair. Take it or grab Vaseline or babycare
 
𝔨𝔦𝔭𝔦𝔀𝔬 𝔠π”₯𝔒𝔫𝔲 𝔒𝔫𝔢𝔦 π”΄π”žπ”«π”ž π”΄π”ž 𝔰𝔬𝔰π”₯π”ž π”¦π”±π”žπ”¨π”²π”΄π”ž 𝔫𝔦 𝔨𝔦𝔠π”₯𝔒𝔨𝔬 𝔨𝔴𝔒𝔱𝔲 𝔰𝔦𝔰𝔦 𝔩𝔦𝔳𝔒𝔯𝔭𝔬𝔬𝔩 π”žπ”«π”’π”«π”ž π”ͺπ”΄π”žπ”«π”ž π”΄π”ž π”žπ”©π”¦π”Άπ”’ 𝔧𝔲𝔲 ,π”«π”žπ”±π”žπ”·π”žπ”ͺπ”ž π”±π”žπ”Ÿπ”² 𝔢𝔒𝔫𝔲 𝔩𝔒𝔬 π”¦π”±π”žπ”¨π”²π”΄π”ž π”£π”²π”―π”žπ”₯π”ž π”«π”ž 𝔰π”₯π”žπ”«π”€π”΄π”’ π”¨π”žπ”±π”¦π”¨π”ž 𝔫𝔀𝔬π”ͺ𝔒 π”Άπ”ž π”žπ”«π”£π”¦π”’π”©π”‘.
 
Inatokana na game yenyewe.
Game na aseno ni kama sikukuu (nikishinda) au msiba (nikifungwa) siwezi kosa labda inikute kwenye machimbo ya mbali na mjini.

Istoshe niliingia jana usiku nimerudi leo asbuh na vidini vya kula.
Zama chimbo wewe ..achana manyumbu haya yatakunyima ela ya kula ..mwajiri atakutaka mshahara oho!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…