Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Telles kapoa sana bissaka ndo anapandisha timu peke yake kule juu anatakiwa shaw mapema sana akimbizane na kina Martial. Sio kila siku ni sikukuu au tutapata nafasi ya kufanya comeback huu mchezo wa kutanguliwa uishe sasa nyambafu.
 
Mimi kama mpinzani kutoka kanda ya Pwani nasema kwamba napiga maombi mfungwe najua ni ngumu ukilinganisha na mlichotuonyesha game iliyopita ila mi ndiyo maombi yangu.
Bado nipo jamani
 
Greenwood ni Haaland mwenye madhara kidogo.

Hana mambo mengi yeye akipata pasi ni shuti golini.

Ndiyo maana hata Robertson alivyokua anapiga kelele alikua hajali, yeye ni shuti tu.
 
Kuna jamaa shabiki wa man u ingekua mnaongoza basi angescreenshot matokeo na msimamo kisha atatuma kwenye uzi wa Arsenal na wa Simba na Yanga.

Leo nahisi atakua hata kuangalia simu hataki.
 
Hii sio team ,ni takataka

Ni genge la wahuni tu

Mnataka kushindan na wanaume kama city

Kudddeki
 
Turudi wakuu msihofu game yetu hii ila tuwache dharau tufunge kwnz.

Toa Martial weka Cavani, Toa Matic weka Tommy.

4-1

Nasema uwongo jamanii

GGMU.
 
Kuna jamaa shabiki wa man u ingekua mnaongoza basi angescreenshot matokeo na msimamo kisha atatuma kwenye uzi wa Arsenal na wa Simba na Yanga.

Leo nahisi atakua hata kuangalia simu hataki.
Msubirieni, atakuja tu baada ya game kuisha.
 
Wanacheza kama vile manajua muda wowote wata win

Aisee

Maajabu ya dunia yatatokea leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…