Telles kapoa sana bissaka ndo anapandisha timu peke yake kule juu anatakiwa shaw mapema sana akimbizane na kina Martial. Sio kila siku ni sikukuu au tutapata nafasi ya kufanya comeback huu mchezo wa kutanguliwa uishe sasa nyambafu.
Mimi kama mpinzani kutoka kanda ya Pwani nasema kwamba napiga maombi mfungwe najua ni ngumu ukilinganisha na mlichotuonyesha game iliyopita ila mi ndiyo maombi yangu.