NtYga JF-Expert Member Joined Aug 23, 2018 Posts 4,945 Reaction score 12,695 Jan 25, 2021 #146,421 ★saa 4 tukutane kwenye supu ya JOGOO wa London ★ South said: Kesho tunaamka saa ngapi jamani? Click to expand...
★saa 4 tukutane kwenye supu ya JOGOO wa London ★ South said: Kesho tunaamka saa ngapi jamani? Click to expand...
NtYga JF-Expert Member Joined Aug 23, 2018 Posts 4,945 Reaction score 12,695 Jan 25, 2021 #146,422 ★Mfano Chelshit na Arsenane ★ #GGMU manutd |
Ugiligili JF-Expert Member Joined Jun 20, 2014 Posts 3,023 Reaction score 4,071 Jan 25, 2021 #146,423 SOSHA MITANO TENA MAZAFANTAZ
Ugiligili JF-Expert Member Joined Jun 20, 2014 Posts 3,023 Reaction score 4,071 Jan 25, 2021 #146,424 yuda75 said: Man u fans we need security Click to expand... Jamani eeh..tunahitaji ulinzi kama wa Magu..baba magufuli jamani maisha yetu yako hatarini..hawa jamaa wanatuchukia sana
yuda75 said: Man u fans we need security Click to expand... Jamani eeh..tunahitaji ulinzi kama wa Magu..baba magufuli jamani maisha yetu yako hatarini..hawa jamaa wanatuchukia sana
mwandende JF-Expert Member Joined Feb 16, 2017 Posts 11,363 Reaction score 21,441 Jan 25, 2021 #146,425 Darmian said: Lile liwakala la Pogba liache us.enge,kijana atulie acheze mpira ashinde trophy hapa Uingereza. Pogbooomm..ametulia sana. Click to expand... Niliwahi kusema hilo pogba not for sell. Kuna watu walinipinga sn.
Darmian said: Lile liwakala la Pogba liache us.enge,kijana atulie acheze mpira ashinde trophy hapa Uingereza. Pogbooomm..ametulia sana. Click to expand... Niliwahi kusema hilo pogba not for sell. Kuna watu walinipinga sn.
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Jan 25, 2021 #146,426 Kitoabu said: Nina imani mzee mwenzangu siku hizi huna wasisi na Sorskjaer? Click to expand... Tatizo hajakaa kiubingwa kabisaaaa
Kitoabu said: Nina imani mzee mwenzangu siku hizi huna wasisi na Sorskjaer? Click to expand... Tatizo hajakaa kiubingwa kabisaaaa
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Jan 25, 2021 #146,427 Castr said: Jamaa ulitupa simu kabisa nini? Wasamaria wema wamekuletea? Click to expand... Asalaam alyeikum
Castr said: Jamaa ulitupa simu kabisa nini? Wasamaria wema wamekuletea? Click to expand... Asalaam alyeikum
sojobizzy Senior Member Joined Oct 18, 2016 Posts 130 Reaction score 153 Jan 25, 2021 #146,428 leo n j2 pro max naomba mashabik wote wa manchester united tuendelee kulala jaman
Pain killer JF-Expert Member Joined Aug 15, 2017 Posts 14,360 Reaction score 21,713 Jan 25, 2021 #146,429 radika said: Toka nimejiunga jf sijawah kuona jukwaa la manchester city hivi lipo kweli? Wewe utakuwa kashabiki ka arsenal unajifichia manchester city Click to expand... Huna macho Kuwa man utd fans huna uwezo wa kuona ,ngonja nikuache
radika said: Toka nimejiunga jf sijawah kuona jukwaa la manchester city hivi lipo kweli? Wewe utakuwa kashabiki ka arsenal unajifichia manchester city Click to expand... Huna macho Kuwa man utd fans huna uwezo wa kuona ,ngonja nikuache
Pain killer JF-Expert Member Joined Aug 15, 2017 Posts 14,360 Reaction score 21,713 Jan 25, 2021 #146,430 radika said: Toka nimejiunga jf sijawah kuona jukwaa la manchester city hivi lipo kweli? Wewe utakuwa kashabiki ka arsenal unajifichia manchester city Click to expand... Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,! Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda
radika said: Toka nimejiunga jf sijawah kuona jukwaa la manchester city hivi lipo kweli? Wewe utakuwa kashabiki ka arsenal unajifichia manchester city Click to expand... Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,! Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda
Pool Table JF-Expert Member Joined Jan 30, 2020 Posts 1,680 Reaction score 2,891 Jan 25, 2021 #146,431 Pain killer said: Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,! Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda Click to expand... Umefufuka sahivi
Pain killer said: Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,! Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda Click to expand... Umefufuka sahivi
Pain killer JF-Expert Member Joined Aug 15, 2017 Posts 14,360 Reaction score 21,713 Jan 25, 2021 #146,432 Hizi devil zikishinda ni matatizo Burnley kashinda anfield kaona kawaida ,sipati picha hizi nyumbu zingevunja unbeaten run ya anfield But united ni team ya kawaida sana ,haichezi kibingwa,bado sanaa Round ya Pili inakuja
Hizi devil zikishinda ni matatizo Burnley kashinda anfield kaona kawaida ,sipati picha hizi nyumbu zingevunja unbeaten run ya anfield But united ni team ya kawaida sana ,haichezi kibingwa,bado sanaa Round ya Pili inakuja
Pool Table JF-Expert Member Joined Jan 30, 2020 Posts 1,680 Reaction score 2,891 Jan 25, 2021 #146,433 Pain killer said: Hizi devil zikishinda ni matatizo Burnley kashinda anfield kaona kawaida ,sipati picha hizi nyumbu zingevunja unbeaten run ya anfield But united ni team ya kawaida sana ,haichezi kibingwa,bado sanaa Round ya Pili inakuja Click to expand... Mashabiki wa burnely ulikutana nao wapi hadi ujue waliona kwaida?
Pain killer said: Hizi devil zikishinda ni matatizo Burnley kashinda anfield kaona kawaida ,sipati picha hizi nyumbu zingevunja unbeaten run ya anfield But united ni team ya kawaida sana ,haichezi kibingwa,bado sanaa Round ya Pili inakuja Click to expand... Mashabiki wa burnely ulikutana nao wapi hadi ujue waliona kwaida?
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Jan 25, 2021 #146,434 Suplexkid said: Mashabiki wa burnely ulikutana nao wapi hadi ujue waliona kwaida? Click to expand... Kashabiki ka arsenal hako
Suplexkid said: Mashabiki wa burnely ulikutana nao wapi hadi ujue waliona kwaida? Click to expand... Kashabiki ka arsenal hako
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Jan 25, 2021 #146,435 Pain killer said: Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,! Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda Click to expand... Sasa manchester united na carabao wap na wapi na ww yale ndio makombe ya pep makombe ya ulaya hawez kubeba bila mess soma ubao hapo juu Mngetufunga kwenye ligi tungeona pep kajitahidi tunakuja kuwapigia hapo hapo empty had kama mwaka jana tumepiga nje ndani
Pain killer said: Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,! Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda Click to expand... Sasa manchester united na carabao wap na wapi na ww yale ndio makombe ya pep makombe ya ulaya hawez kubeba bila mess soma ubao hapo juu Mngetufunga kwenye ligi tungeona pep kajitahidi tunakuja kuwapigia hapo hapo empty had kama mwaka jana tumepiga nje ndani
NtYga JF-Expert Member Joined Aug 23, 2018 Posts 4,945 Reaction score 12,695 Jan 25, 2021 #146,436 ★Picha linajieleza tunamkula nakumkunywa LIVERKUKU wamotoooo,mimi nikiwa kama Shabiki wa MASHETANI WEKUNDU Hili diko nalipiga niko zangu OT na babu Fergie. We unamnywa Supu LiverKUKU ukiwa wapi??? ★ #GGMU manutd |
★Picha linajieleza tunamkula nakumkunywa LIVERKUKU wamotoooo,mimi nikiwa kama Shabiki wa MASHETANI WEKUNDU Hili diko nalipiga niko zangu OT na babu Fergie. We unamnywa Supu LiverKUKU ukiwa wapi??? ★ #GGMU manutd |
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Jan 25, 2021 #146,437 Umeamka na furaha ukiwa wapi??
Pool Table JF-Expert Member Joined Jan 30, 2020 Posts 1,680 Reaction score 2,891 Jan 25, 2021 #146,438 ze-dudu said: Umeamka na furaha ukiwa wapi?? Click to expand... Kila nikiamka kuna sauti ya bruno inanambia lala kijana
ze-dudu said: Umeamka na furaha ukiwa wapi?? Click to expand... Kila nikiamka kuna sauti ya bruno inanambia lala kijana
Aelknes JF-Expert Member Joined Oct 7, 2019 Posts 249 Reaction score 624 Jan 25, 2021 #146,439 Suplexkid said: Kila nikiamka kuna sauti ya bruno inanambia lala kijana Click to expand... 😂😂😂😂 Usiamke si unajua Hawa jamaa walivyo na hasira?? Wanaweza kukukanyaga alafu akuambie umemtegeshea mguu
Suplexkid said: Kila nikiamka kuna sauti ya bruno inanambia lala kijana Click to expand... 😂😂😂😂 Usiamke si unajua Hawa jamaa walivyo na hasira?? Wanaweza kukukanyaga alafu akuambie umemtegeshea mguu
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Jan 25, 2021 #146,440 Mech nyingi tumeshinda zile tulizoanza kuchokozwa kipind cha kwanza