Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Bailly wakati wa Mourhnio huu huu uwanja alijifunga ndiyo maana yuko benchi na Martial mechi yake ya kwanza na Liverpool alifunga bao murua sana ndiyo maana anaanza.Kabisa ole kauza mechi
Kwa uamuzi wake wa leo, nimeshangaa sana! Labda tushinde hii mechi.Mbona zote kacheza mzungu mwenzie tumechezea mkuu
Martial atafunga leo ndiyo utaanza kumwelewa OGSKama umemuangalia vizuri Cavani haruhusu ule ujinga wa kipa kuwaanzishia mabeki, anazunguka pale kwenye 18 kwa spidi kubwa hawawezi kuanzishia mipira pale ovyo ovyo. Martial ni mvivu hawezi kudhibiti mabeki na kipa wanaanzishia mipira nyuma ambayo ni hatari sana.
Majanga haka kajamaa kana bet
Na ndio Defence hiyohiyo iliyowazuia SON & KANE...Rashford ,Martial ni Striking Force hii Yani Ukijata Striking force utaipeleka hii ,Striker ana Goli 2 unasema ni Striker Serious .sijaona kikosi cha kuifunga man u leo, yani kwa centre-backs za Hendo na Fabinho ndio mumzuie rashford martial na cavan (akiingia) wewe jiandae kumtukana klopp badae
Na ndio Defence hiyohiyo iliyowazuia SON & KANE...Rashford ,Martial ni Striking Force hii Yani Ukijata Striking force utaipeleka hii ,Striker ana Goli 2 unasema ni Striker Serious .
Salah ana Goli 13 Chukua Magoli ya League ya Rashford + Martial + Cavani wamemfikia Salah ???
Mashabiki wa LFC dunia nzima wiki hii yote tumekuwa tukiomba Klopp amuanzishe Shaqiri. Tunashukuru tumesikilizwaShaqri weakest Liverpool link kwa hiyo nao wako wako
SALAH GOLI 13Kwa hiyo mfungaji liverpool ni salah tu?
Shaqri weakest Liverpool link kwa hiyo nao wako wako
SALAH GOLI 13
MANE 6
JOTA 5
FIRMINHO 5
Manchester United ana watu wa hivi Acheni ujanja ujanja Mfungaji wenu ni Bruno hao wengine ni Wabahatishaji tu.
Tatizo tunashinda sasa haya maelezo yote ya nini.Kitu mkuu hujaelewa ni kwamba liverpool tayar washaweka standard zao kitu ambacho sisi hatuna wao wana mentality ya ushindi jambo ambalo sosha hana ilitakiwa mech kama hizi akaze analeta mchezo
Kipindi manchester united wapo kwenye standard za ushindi walikuwa wanaweza kupanga mabek watupu na tukashinda liverpool wanaweza kwenda na mchezaj wao yoyote na wakapata matokeo wanayotaka tayar wapo kwenye hiyo standard shaqir kuwepo hapo sio kwa bahat mbaya tambua hilo
Kwa msaada wa Penalty za FERNANDES mbona iko wazi hiyo Mkuu.Sasa rashford ana goli mbili tumefikaje nafasi ya kwanza?
Kwa msaada wa Penalty za FERNANDES mbona iko wazi hiyo Mkuu.