Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivyo hivyo ulisema kwa mechi zilizopita. Tena ukasema united hawezi kuwa first. Sasay

Hivyo hivyo ulisema kwa mechi zilizopita. Tena ukasema united hawezi kuwa first. Sasanimekuwaje na unasema hawana uwezo?
Alianza

Eveton
Chelsea
Saton
Spurs

Sasa ni man united

Kumbuka hata spurs alikuwa hapo juu na alikutana na liverpool anfield ,uliza baada ya game nini kilitokea

United wanatamani kukaa pale juu ila uwezo hawana


4 days remain united to return back to its postion
 
Kula ugoro kwanza upige chafya, maana ubongo wako utakua na kutu huo.
Unaandika waraka mrefu kumzidi Paolo, alafu ndani ya waraka huo hamna chochote cha maana.
 
Kula ugoro kwanza upige chafya, maana ubongo wako utakua na kutu huo.
Unaandika waraka mrefu kumzidi Paolo, alafu ndani ya waraka huo hamna chochote cha maana.
Unaweza kuta huyu na yeye ni baba kabisa wa familia

Aisee pole sana
 
Usiifananishe Manchester United na hizo taka taka zako.
Mashabiki pinzani duniani kote walikua wanabana bumbu, Manchester United asiongoze ligi, sababu wanajua, Manchester United akiwa juu hashuki, akishuka watoto hawahesabiki.
 
Huu mzunguko ..utaenda hivi mwishowe utaishia London tu..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…