Na hata kupush maguire amepush tayari mpira ushaondoka kichwani kwake, hata Var hawajaangalia.Goli la kichwa la Maguire lilikuwa na shida gani maana beki hakuonekana kupambania mpira
Rashford hata fika mbali kwasababu ya ubinafsi. OGS alipaswa kumpa DVD za Rooney.
Na hata kupush maguire amepush tayari mpira ushaondoka kichwani kwake, hata Var hawajaangalia.
Hii kamati yangu ya roho mbaya, mbona hawaswemwi au muda badoMartial for life
Pogba labile, akiamka vibaya anakua ameamka vibaya kweli. Ee baba tunaomba amke kweli vibaya
Matic, slow as usual
Nawatakia kipigo kitukufu
Dakika ya ngapi?Atimae tunaongoza ligi
Tuliisha ongoza tangu dk ya 1Atimae tunaongoza ligi
Dakika ya ngapi?
Kwa mudaAtimae tunaongoza ligi