Acha ubishi leicester alichukuwa 17 pts from big six oposition
No, wa 17.
Now tuchukulie upo sahihi kua wote ni vibonde.
Ole kashashusha timu daraja. Arteta bado.
Ole ashafeli kuwavusha semi nne. Arteta bado.
Ole hajatengeneza muunganiko wa kueleweka mpaka sasa. Arteta tayari.
Ole hajapata trophy bado. Arteta tayari.
Ole hajui muda wa sub. Arteta hajui muda wa sub pia.
Tunakutana in a few weeks. Itakua chansi ya Ole kudhihirisha kua Arteta amembahatisha kila Arsenal na United zilipokutana.
Wa pili sio bingwa mzee baba. 1st is 1st second is nothing memo wa Bill Shanky
No, wa 17.
Now tuchukulie upo sahihi kua wote ni vibonde.
Ole kashashusha timu daraja. Arteta bado.
Ole ashafeli kuwavusha semi nne. Arteta bado.
Ole hajatengeneza muunganiko wa kueleweka mpaka sasa. Arteta tayari.
Ole hajapata trophy bado. Arteta tayari.
Ole hajui muda wa sub. Arteta hajui muda wa sub pia.
Tunakutana in a few weeks. Itakua chansi ya Ole kudhihirisha kua Arteta amembahatisha kila Arsenal na United zilipokutana.
Point hapo hizo point za big six zinakupa vipi kampan
Usajili ganiArteta mwenyewe akipewa shefield united inashuka daraja pale tu na ule usajili kaponea chupu chupu
Ungekuwa umeshinda hata mechi mbili za big six Ungekuwa juu kwahiyo narudia tena come end of the season usipopata point za kutosha kwa big six opposition sahau ubingwa
Usajili gani
Una ukoo na Glazer?Arsenal wanamuunganiko gani na ww? Daaaaa mzee unaandika barua ndefu sana halafu majanga
Una ukoo na Glazer?
Hii kitu haipo labda kwa mawazo yako tu liverpool wiki ijayo anaenda kuwa wa pili na kashinda baadhi ya mech za top 6
Ha ha ha haHuyu mwl mbwa sana huyu sijui kile ki Martial anakipendea nini aisee,
We leta ushahidi wa timu uliyowai kuwa bingwa kwa kutokushinda mechi kubwa
Manchester united 2010 tena zilikuwa top 4 tu alichukua point nne hizi post muwe mnaangalia
Itasaidia kujiuliza kwanini naandika kwa ajili ya timu nisiyo na muunganiko nayoWw utakusaidia nn ukijua?
Itasaidia kujiuliza kwanini naandika kwa ajili ya timu nisiyo na muunganiko nayo
Acha uongo point nne zipi wakati Alishinda games za homes zote vs Liver, Arsenal, Chelsea
Acha uongo point nne zipi wakati Alishinda games za homes zote vs Liver, Arsenal, Chelsea