Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Sancho pia Ki.mba tu km ma.ki.mba mengine.
Kuna kauli uliitoa kuwa Manchester City haiwezi kumfunga Manchester United vipi tunaitafuta hiyo kauli au tunaacha ibaki kama ulivyotamka hapo awali?Sancho na grealish wa muhimu sana leo bruno hakuwa na mchezo mzur tumepoteza maana yake kuna mtu mmoja tu
United matumizi yake ya usajili hayaachani mbali na city ila hajafanikiwa kua na kiwango kinachokaribiana na city.Kuna kauli uliitoa kuwa Manchester City haiwezi kumfunga Manchester United vipi tunaitafuta hiyo kauli au tunaacha ibaki kama ulivyotamka hapo awali?
Alikua amebet, mkeka ndio umeshachanika tayariKuna kauli uliitoa kuwa Manchester City haiwezi kumfunga Manchester United vipi tunaitafuta hiyo kauli au tunaacha ibaki kama ulivyotamka hapo awali?
Ni leo tu au?
Kuna kauli uliitoa kuwa Manchester City haiwezi kumfunga Manchester United vipi tunaitafuta hiyo kauli au tunaacha ibaki kama ulivyotamka hapo awali?
Mbaya zaidi et ni title contender
Achen masiala wakuu, msije kuongea mbele ya wanaume hivo
Timu imeshajifia, bado kuzikwa
Then mnataka mkamfunge Liverpool anfied
Endeleen kuleta vichekesho
Duh!City sasa hv OT ni kama uwanja wao wa nyumbani vile wanajipigia tu..Henderson ni kipa mzuri lkn naona carrier yake inaenda kufia OT(so sad)..watu ambao huwa wanasema Maguire ni mzigo kwa lendolof huwa natamani sana nikione hicho wanachokiona kwa lendolof..Leo tangu mpira unaanza ulikuwa unaona pep yuko desperate kupata matokeo natamani sana Solskjaer ajifunze hicho kutoka kwa jamaa sio mpaka dk za mwisho ndo anazinduka..
Alikua amebet, mkeka ndio umeshachanika tayari
Mtalikumbuka nawaambiaLiverpool kabeba epl bila fa cup na carabao pep tukombe hutu tupo damuni toka buyern kule uefa anapigwa huwa hambulii
Nafikiri akili imeshawakaa sawa sasa maana mlisha sahau kama timu yenu ni mbovu
Mmetolewa hapo mnajipunguzia vipaumbele na kuchosha wachezaji so msilalamike sana.
Mtalikumbuka nawaambia
Kocha wako aliondoa Lukaku akaleta Ighalo! Hata apewe trio ya Neimar, Aguero, na Mbappe bado hatashinda mechi muhimu zinazohitaji mbinu.Manchester united wanaweza kubeba makombe chini ya ole kama atatafuta washambuliaji wa 3 mpira anaofundisha si mbaya shida ni umaliziaji bruno ana goli nyingi kuliko washambuliaji wake
Kwa mfano mtu kama martial anavaa jez na 9 anacheza kama kipa bota awe anadaka tu leo mara 3 anaomba penat wakat uwezo wa kufunga alikuwa nao