SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,028 Reaction score 5,355 Dec 29, 2020 #143,701 ARV said: Matic yuko poa tu, shida hapo kwa Pogba, huwa ana mood, kuna siku anashindwa kabisa. Lakini ingekuwa mmoja hapo atoke awepo Fred au Tominay ingekuwa moto sana. Click to expand... Siku ambayo Man U anatakiwa akae pazuri ndio anazingua. Kwa Pogba na Matic hapo tumeliwa
ARV said: Matic yuko poa tu, shida hapo kwa Pogba, huwa ana mood, kuna siku anashindwa kabisa. Lakini ingekuwa mmoja hapo atoke awepo Fred au Tominay ingekuwa moto sana. Click to expand... Siku ambayo Man U anatakiwa akae pazuri ndio anazingua. Kwa Pogba na Matic hapo tumeliwa
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,178 Reaction score 73,982 Dec 29, 2020 #143,702 Kwa hizi dk 90 mimi ni man u. Nina imani na Ole
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,028 Reaction score 5,355 Dec 29, 2020 #143,703 Castr said: Kwa hizi dk 90 mimi ni man u. Nina imani na Ole Click to expand... Baada ya 90 je?
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,079 Reaction score 16,035 Dec 29, 2020 #143,704 Nyumbu hana uwezo wa kushinda hii game
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,028 Reaction score 5,355 Dec 29, 2020 #143,705 Wolves ndani ya dk 13 shots on target 3. Man U 0
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,079 Reaction score 16,035 Dec 29, 2020 #143,706 Kwa namna yeyote ile, hii mechi hamshindi!
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,582 Reaction score 19,226 Dec 29, 2020 #143,707 Nyumbu wapo hali mbaya sana Tuzidi kumuombea
Volatility JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 3,935 Reaction score 7,524 Dec 29, 2020 #143,708 link wakuu
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Dec 29, 2020 #143,709 Hii mechi tukipata sare tumejitahidi
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Dec 29, 2020 #143,710 Hakukuwa na haja ya kuanza na pogba aisee sababu sio mzuri kwenye kukaba ilifaa aanze fred au mctominay
Hakukuwa na haja ya kuanza na pogba aisee sababu sio mzuri kwenye kukaba ilifaa aanze fred au mctominay
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Dec 29, 2020 #143,711 Ila rashford akili ya mpira ndogo sana
mwandende JF-Expert Member Joined Feb 16, 2017 Posts 11,363 Reaction score 21,441 Dec 29, 2020 #143,712 mkorea said: Huu Uzi nimeutafuta sana. Mmeanza kuuficha nyie wapuuzi!!! Click to expand... Kkkkkk... Akina nani hao? Mashabiki wa arsenal au Chelsea?
mkorea said: Huu Uzi nimeutafuta sana. Mmeanza kuuficha nyie wapuuzi!!! Click to expand... Kkkkkk... Akina nani hao? Mashabiki wa arsenal au Chelsea?
Ugiligili JF-Expert Member Joined Jun 20, 2014 Posts 3,023 Reaction score 4,071 Dec 29, 2020 #143,713 Gameplan haijatulia...tumepiga cross nyingi ambazo hazina threat. Bado tunachangamoto ya kuzifungua timu ambazo zina compact defending style
Gameplan haijatulia...tumepiga cross nyingi ambazo hazina threat. Bado tunachangamoto ya kuzifungua timu ambazo zina compact defending style
Pool Table JF-Expert Member Joined Jan 30, 2020 Posts 1,680 Reaction score 2,891 Dec 29, 2020 #143,714 Tunashinda hii game
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,028 Reaction score 5,355 Dec 29, 2020 #143,715 mtzmweusi said: Ila rashford akili ya mpira ndogo sana Click to expand... Ulisha ambiwa finishing yake kama Benteke
mtzmweusi said: Ila rashford akili ya mpira ndogo sana Click to expand... Ulisha ambiwa finishing yake kama Benteke
mozila firefox JF-Expert Member Joined Dec 9, 2018 Posts 898 Reaction score 1,764 Dec 29, 2020 #143,716 Bad 1st half Tuna uhaba wa kutengeneza nafasi za magoli
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,582 Reaction score 19,226 Dec 29, 2020 #143,717 Ni swala la muda kabla hatujaweka matanga hapa
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Dec 30, 2020 #143,718 Wakuu kitaalamu hii sub ya shaw imekaaje?
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Dec 30, 2020 #143,719 Don Clericuzio said: Akikaza atakuja kuchukua kazi ya OGS Click to expand... Ngoja tumuone
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 21,786 Reaction score 35,747 Dec 30, 2020 #143,720 Volatility said: link wakuu Click to expand... Manchester United vs Wolverhampton - HesGoal.Com Sports News
Volatility said: link wakuu Click to expand... Manchester United vs Wolverhampton - HesGoal.Com Sports News