Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna mchezaji anaitwa Antonio martial

Nahisi ndio mchezaji anaetukanwa sana kwa mwaka 2020

Kwani Jesse Lingard hayupo???
Martial ni mchezaji mzuri sana, ila anahitaji Daktari wa saikolojia, ili kuboost inner drive. Angekuwa na bidii kama Sterling au Mane, angekuwa moto sana.
 
Hivi Mata yuko wapi? Japo ni mzee mechi ngumu hizi tunamhitaji.
 
Hii ball possession inaashiria sare ya mbili kwa mbili. Tunapoteza mipira kiurahisi sana siyo rahisi kushinda kama tunawapasia
 
Hakuna nafasi ya counter,and James is no where to be found

Pogba+Cavani wazame ndani
 
James na Martial inabidi wasirudi kiwango chini sana leo. Cavani na Pogba ndani ya ulingo
 
Hawa leicester hawaiogopi man u wanajiachia kwa kumiliki mpira kiasi hichi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…