Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Subirini wanakuja baada ya draw kumalizika ambapo mtapangwa kucheza na Man City kwenye round inayofuatia. tete te te te.

Don't change the channel.

Mpira haupo hivyo chifu...

Waletwe tu hao Man Shitty...

Kila siku siyo jumapili kaka...
 
Mpira haupo hivyo chifu...

Waletwe tu hao Man Shitty...

Kila siku siyo jumapili kaka...

Ndo zao hata leo walisema hivyo hivyo kuwa tutafungwa sasa wamebadili topic imekuwa tusubiri Man City
 
Sala zenu zimesikilizwa. Next round ni Manchester United v Norwich City
 
Ndo zao hata leo walisema hivyo hivyo kuwa tutafungwa sasa wamebadili topic imekuwa tusubiri Man City

Tukiweka ushabiki pembeni bado Utd hawachezi vizuri.

Poor in possession, very conservative and they relied on a schoolboy error to get the goal.

Still work to be done. But De Gea could be the new No. 1 for Spain very soon.

As for Liverpool, good passing, but without creativity.
 
Tukiweka ushabiki pembeni bado Utd hawachezi vizuri.

Poor in possession, very conservative and they relied on a schoolboy error to get the goal.

Still work to be done. But De Gea could be the new No. 1 for Spain very soon.

As for Liverpool, good passing, but without creativity.

United style...winning ugly...

Ukitaka mpira pasi, nenda kwenye jukwaa la Goons ama Barcelona.
 
Nyie manure mnanifurahisha sana .. So welberk anafaa kuanza sababu ana nguvu .. Lakini chicharito ambaye ni goal poacher mzuri kuliko welberk hafai kuanza sababu hana nguvu ..

Me I thought wachezaji wanapimwa afya kuangalia kama wanaweza kuilhimili 90min .. Au chicharito alikuwa exceptional ??? ..

Acheni mambo zenu ..
 
Tukiweka ushabiki pembeni bado Utd hawachezi vizuri.

Poor in possession, very conservative and they relied on a schoolboy error to get the goal.

Still work to be done. But De Gea could be the new No. 1 for Spain very soon.

As for Liverpool, good passing, but without creativity.

Oh man .. I thought I was the only one niliyeona hili ..
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nyie manure mnanifurahisha sana .. So welberk anafaa kuanza sababu ana nguvu .. Lakini chicharito ambaye ni goal poacher mzuri kuliko welberk hafai kuanza sababu hana nguvu ..

Me I thought wachezaji wanapimwa afya kuangalia kama wanaweza kuilhimili 90min .. Au chicharito alikuwa exceptional ??? ..

Acheni mambo zenu ..

Nani kasema Danny anafaa kuanza?

System ya United ni kutumia namba 9 pekee yake mbele. So RvP ndiyo kazi yake hiyo; akiumwa Javier ataanza na kupumzishwa kama leo.

Javier hana uwezo wa kuhimili dk. 90; spidi yake na umakini uwanjani uisha kadiri anavyochoka. Hilo si jambo la ajabu; wachezaji wengi tu pamoja na kupimwa, uwa hawezi kuwa sawa (kwa spidi na umakini) kwa dk. zote 90.

Chifu, ya United huyawezi, wewe kausha tu!
 
Utaona sana tu..mlitegemea United kufungwa enh?!?

Winning uglier and even the ugliest is Man United's style.
usipate tabu kuwaelimisha,maana ni sawa na wafa maji na hajui kuwa ushindi wa mpira ni pointi(magoli) na sio pasi
 
Nani kasema Danny anafaa kuanza?

System ya United ni kutumia namba 9 pekee yake mbele. So RvP ndiyo kazi yake hiyo; akiumwa Javier ataanza na kupumzishwa kama leo.

Javier hana uwezo wa kuhimili dk. 90; spidi yake na umakini uwanjani uisha kadiri anavyochoka. Hilo si jambo la ajabu; wachezaji wengi tu pamoja na kupimwa, uwa hawezi kuwa sawa (kwa spidi na umakini) kwa dk. zote 90.

Chifu, ya United huyawezi, wewe kausha tu!

Tatizo unaongea kwa confidence hana uwezo wa kuhimili dakika tisini unataka kunambia HAKUNA game aliyoanza na kufunga mabao mawili /matatu kuanzia dakika ya sabini ?

Kumbuka hajaanza kucheza mpira utd , ana timu aliyopitia kabla ya kutua utd na inawezekana alikuwa mzuri sana ndio maana akaja utd ..

Usinambie ya utd siyawezi mi nazungumzia chicharito kama chicharito uwezo wa kucheza dakika tisini anao kwa speed nzuri tu ...

Labda unambie utd chini ya sir Alex aliamua tu kumfanya super sub (SYSTEM YA UNITED )
 
Tatizo unaongea kwa confidence hana uwezo wa kuhimili dakika tisini unataka kunambia HAKUNA game aliyoanza na kufunga mabao mawili /matatu kuanzia dakika ya sabini ?

Kumbuka hajaanza kucheza mpira utd , ana timu aliyopitia kabla ya kutua utd na inawezekana alikuwa mzuri sana ndio maana akaja utd ..

Usinambie ya utd siyawezi mi nazungumzia chicharito kama chicharito uwezo wa kucheza dakika tisini anao kwa speed nzuri tu ...

Labda unambie utd chini ya sir Alex aliamua tu kumfanya super sub (SYSTEM YA UNITED )

Tunaposema hawezi kucheza dkk 90 tuna maanisha kuwa akicheza kwa dkk zote tija yake inapungua uwanjani kwani ni mchezaji ambaye anafanya movement nyingi sana hivyo anachoka haraka hasa kipindi cha pili, na kwa Man Utd hilo tatizo lipo kwa Anderson pia.

Anapoingia sub kipindi cha pili kwake huwa ni faida kwa kuwa mabeki wanakuwa wamechoka kidogo so anaweza kuwachosha zaidi za kupata nafasi ya kufunga goli. Angalia data zake magoli mengi sana kafunga akitokea sub kuliko katika mechi ambazo ameanza.
 
Nyie manure mnanifurahisha sana .. So welberk anafaa kuanza sababu ana nguvu .. Lakini chicharito ambaye ni goal poacher mzuri kuliko welberk hafai kuanza sababu hana nguvu ..

Me I thought wachezaji wanapimwa afya kuangalia kama wanaweza kuilhimili 90min .. Au chicharito alikuwa exceptional ??? ..

Acheni mambo zenu ..

inategemea siku hio kocha anataka nini from the striker na style of play kulingana na opponent[kama anahitaji physical presence upfront welbeck will get the nod]

mnaweza wote kuhimili dk 90 lakini mkawa na nguvu tofauti[unafikiri cr7 na messi nani ana nguvu sana??kuhimili dakika 90 is about stamina na nguvu ni tofauti na stamina unaweza kuwa na miguvu ila dk ya 55 tu hoi....

 
Nyie manure mnanifurahisha sana .. So welberk anafaa kuanza sababu ana nguvu .. Lakini chicharito ambaye ni goal poacher mzuri kuliko welberk hafai kuanza sababu hana nguvu ..

Me I thought wachezaji wanapimwa afya kuangalia kama wanaweza kuilhimili 90min .. Au chicharito alikuwa exceptional ??? ..

Acheni mambo zenu ..

Welbeck pia hafai sana kuanza, wakati wa Ferg mara nyingi welbeck alikuwa anatumika kwa sababu za kimbinu hasa kupoteza muda pale timu inapokuwa imeshinda au katika mechi ambayo mpinzani anaweza kumiliki zaidi mpira kwa kuwa welbeck ana uwezo wa kukaaa na mpira kidogo tofauti na Chicharito ambaye uwezo wake wa kumiliki mpira ni mdogo
 
Back
Top Bottom