Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nadhani ni makocha wote duniani kasoro JMorinho wana mfumo wa attacking.
 
★Bruno Fernandes has topped this week's Power Rankings!


Head to our story and swipe up for the full list of players, ranked on their last five league games. Fernandes converted his match-winning penalty against West Brom, plus scoring twice and assisting in their 3-1 win at Everton a fortnight ago!★

#GGMU


@Manutd
 
Nadhani ni makocha wote duniani kasoro JMorinho wana mfumo wa attacking.
Ni kweli mkuu lakini huyu ole timu anafundisha bored football,,

Yaani timu pale inashambuliwa badala ya kuingiza attacking up front,,,atatoa attackers aingize beki..ajilinde..

Timu imeshafungwa unajilinda nn?

Au timu haijafungwa lakini bado mnashambuliwa ,,

Hapo ni kuweka watu watakao badilisha mfumo mzima wa kushambuliwa..

Mfano unapoingiza attacker maana yake bado unataka ushindi na hujakubali kuinamishwa,,,ufungwe..

Sasa unapoingiza beki maana yake umeshakibaliana na matokeo ,,,

Huyu kocha ni bure kabisa..


Ameshasahau wakati wa fergy time,,

Ferguson alikuwa anaingiza strikers wa kasi kipindi cha lala salama..
Maana unapoingiza attacker mabeki wanaogopa kupanda.

Nakumbuka enzi zao ole na teddy sheringham,, fergy anawaingiza kwa pamoja,, double sub.
Na wakiingizwa lazima mmoja wapo afunge.

Au anaingiza chicharito..au hata teves..

Dk 15 before time,,zinatosha kubadilisha matokeo..

Ili man u tuwe attacking zaidi,,,ni lazima tucheze 3 up front...
Kama mechi ya Jana..
 
★No Manchester United player has created more chances in the #UCL so far this season than Alex Telles [7].

He has played 157 of a possible 360 minutes.
.★

manutd |
 

Attachments

  • IMG_20201125_144152_817.jpeg
    41.7 KB · Views: 7
  • IMG_20201125_144152_817.jpeg
    41.7 KB · Views: 7
★Paul Scholes on Bruno handing the ball to Rashford for the penalty: “I don’t understand it, he had a chance of getting a European hat trick and has handed the ball away”★

#GGMU


manutd |
 
Basi hapa ma Arse8 na ma chelshit yanachukia kweli yakiona hz habari, hayapendi
 
Ole alipewa kazi ya kuirudisha identity ya United.

Inabidi tuifahamu identity ya United kwanza. Iliasisiwa lini na nani?

Halafu tuangalie kama anachofanya Ole ni kurudisha identity ya United.
Swali zuri mkuu nitajaribu kuangalia mambo machache ambayo kwangu ni positive.
1. Kujenga timu ambayo ipo tayari kuitumikia jezi na sio mahala pa kustaafia.
Angalia Man U miaka nenda miaka rudi hatusifiki kwa kusajili masuper star, bali wachezaji wanaojitolea muda wote, niliandika humu jukwaani mwaka ama miaka 2 iliopita, Man U ilikuwa inashika nafasi ya pili kutoka mwisho kwa kukimbia uwanjani, wachezaji wengi waliridhika na walikuwa hawajitumi.

Je tuangalie Kikosi chetu sasa hivi, timu gani inaweza kusema inakimbia kuliko sisi? Tuna wachezaji wengi wanakaba mpaka kivuli, kuna Fred, Mc tominay, Bissaka, james, lindelof etc. Tumecheza Na Rb leipzig na falsafa zao za ku press, matokeo yake tuliwa overun kwenye mchezo wao wenyewe.

Usajili wetu toka Ole aje umezingatia Pia Hili, so far hakuna mchezaji hata mmoja unaesema ameflop, wengi wameleta Instant impact kuanzia James, Maguire, Bissaka, Bruno, VDB, Telles, Cavani etc. Yote hii ni kutafuta Wachezaji wanaotaka Kuchezea timu badala ya kuangalia majina.

2. Kupromote vijana.
So far tuna academy players wengi tu kikosi chetu, na vijana wengine wanapewa nafasi, tunamuona Tuanzebe, Greenwood, Williams, Rashford na wengine wengi toka academy wakipewa Nafasi, na Highlight kubwa msimu huu ni mechi vs Psg ambayo tulikuwa na Majeruhi wengi na kikosi kujaa Academy players, Tuanzebe vs Neymar na Mbape, Rashford goli la ushindi, Pogba pasi ya ushindi, mc tominay akidominate kati etc.

3. Kupunguza mishahara mikubwa
Wachezaji wengi waliosajiliwa kipindi cha Ole wana mishahara ya kawaida. Bruno na Vdb rumors wanapata 100k per week, maguire around 180k, bissaka around 50 to 70k etc. Wachezaji wakisajiliwa mishahara midogo, wataongezewa kutokana na perfomance zao, leo hii hata Bruno akiongezewa Mkataba na kupewa mshahara mzuri hata sisi mashabiki hatutapiga kelele. Hii issue ilianza toka Woodward ateuliwe ambaye alikuwa akijimwambafy na Hela, sasa hivi tenure ya Ole tunaanza kuziba mashimo.

4.discipline na Dressing room
Sasa hivi timu yote ni kitu kimoja, wachezaji wana furaha, hakuna Hata mchezaji mmoja ambaye unaweza ukasema yupo juu ya wengine, yoyote anaweza kaa benchi, yoyote anaweza kuanza.

5. Depth
Japo bado tuna tatizo la winga ya kulia, ila tume improve sana kwenye depth, leo hii pogba, shaw, matic na wengineo wanaweza kuwa nje ya timu lakini usione pengo, Telles anacheza as if yeye ndio chaguo la kwanza, Tunaona VDB akicheza vizuri kuziba nafasi ya Bruno ama Pogba, Bailly na Tuanzebe katikati, tuna makipa kama watatu wa ukweli, midfield wa kutosha etc. Depth ilikuwa identity yetu kubwa Chini ya fergie.

Na nyengine ya Moja moto moja Baridi, Timu pinzani zimeanza kusema tunabebwa, sijazisikia hizi kauli toka Fergie astaafu, hii ni dalili nzuri tunarudi top.
 
Ole alipewa kazi ya kuirudisha identity ya United.

Inabidi tuifahamu identity ya United kwanza. Iliasisiwa lini na nani?

Halafu tuangalie kama anachofanya Ole ni kurudisha identity ya United.
Na waasisi wa Identity ya United ni Sir Mat Busby na Fergie, ambao wameitoa united kwa wakati tofauti kuipa mafanikio Kupitia Academy zetu.
 
habarini wakuu

Nimeona wengi wanalalamika khs SUB za jana
ieleweke wale waliotolewa ndo wachezaji wetu muhimu zaidi na lazima wawe protected kwa namna yoyote ile

embu imagine BRUNO,Rashford na Bissaka wakaumia leo! tutaishije wkt tuna UCL(bado hatujafuzu),Premier league(tupo nje ya top 10) na FA na CARABAO CUP!??

kimsingi kocha alikuwa sahihi kufanya sub...
SOMETIMES TUNAHITAJI USHINDI KULIKO ENTERTAINMENT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…