Wameonyesha kwa jinsi gani ni professional,,
Ifikie wakati huyo martial arudishe jezi no 9 ampe cavani kama alivyorejesha kwa ibrahimovic..
Apewe hata jezi no 666.
Tatizo ole haeleweki.. Kesho atamweka benchi VDB na Edison
Ndy anayostahili kuvaaHahahaha No 666
Kweli kabisa yule mtoto avue ile no.9 ampe Edinson cz no.7 haimpendezi bhn ukizingatia namba yake anavaa boya tu.Ndy anayostahili kuvaa
Wameonyesha kwa jinsi gani ni professional,,
Ifikie wakati huyo martial arudishe jezi no 9 ampe cavani kama alivyorejesha kwa ibrahimovic..
Apewe hata jezi no 666.
Tatizo ole haeleweki.. Kesho atamweka benchi VDB na Edison
Kweli mkuu,,Kweli kabisa yule mtoto avue ile no.9 ampe Edinson cz no.7 haimpendezi bhn ukizingatia namba yake anavaa boya tu.
World class one -- two from cavani and VDB,.
Taratibu tutaongea lugha moja tuWorld class one -- two from cavani and VDB,.
Tumeshaongoza tatu bila jumapili tuna mechi na Southampton kulikuwa na haja gani ya kuendelea kuwaweka kwenye risk wachezaji wetu muhimu?Hatukupaswa kufanya sub. ,,kumbuka attacking front line ya Leo ndy Mara ya kwanza kucheza pamoja.
Ilipaswa iendelee kucheza vile ilivyo ili kuleta matokeo zaidi na kuwafanya wazidi kuzoeana..
Ole ni muoga sana tu,, akaamua kufanya sub ambayo haieleweki anachokifanya..
Hata martial,, cavani,rashford ,,
Siku zote watu wanapiga kelele wacheze hivyo..akawa mbishi.
Next game atapanga kikosi cha upuuzi,, .badala ya kile kilicholeta mafanik
kwema wakuu, naombeni link ya group la mashabiki wa manchester united la whatsapp, linalochambua soka la united na mpira pekee
Ole alipewa kazi ya kuirudisha identity ya United.Si identity ya fergie muda mwingi ila tumeshaitumia sana, hasa united ya 2008 ambayo Ole ndio alikuwa kocha wa maforward chini ya fergie.
Ronaldo, Tevez na Rooney wote walikuwa wakicheza pamoja, wanashuka chini wanapanda pamoja, wanabadilishana muda wote, Hii formation ilipewa Nickname ya 4-6-0.
Hicho kikosi kimeshakamilika sasa,,Taratibu tutaongea lugha moja tu
Mafanikio:Ole alipewa kazi ya kuirudisha identity ya United.
Inabidi tuifahamu identity ya United kwanza. Iliasisiwa lini na nani?
Halafu tuangalie kama anachofanya Ole ni kurudisha identity ya United.
Kama yako vile.Leo hapa pana Comments nzuri kweli
Identity ya man u ni attacking football,, na sio kupaki basi kama morinho..Ole alipewa kazi ya kuirudisha identity ya United.
Inabidi tuifahamu identity ya United kwanza. Iliasisiwa lini na nani?
Halafu tuangalie kama anachofanya Ole ni kurudisha identity ya United.
Mkuu wachezaji wananunuliwa ili wacheze,,Tumeshaongoza tatu bila jumapili tuna mechi na Southampton kulikuwa na haja gani ya kuendelea kuwaweka kwenye risk wachezaji wetu muhimu?
Captain Mentality"Kwa kweli, kila mchezaji anataka kufunga hat-trick, unajua?" Alisema Fernandes.
"Lakini baada ya mchezo [dhidi ya West Brom] katika Ligi ya Premia nilimwambia Rashy atapiga mpira wa adhabu katika mchezo unaofuata. Ninakumbuka hilo.
"Pia Rashy ni mmoja wa wafungaji bora katika Ligi ya Mabingwa [msimu huu, akiwa na mabao matano] kwa hivyo nadhani itakuwa muhimu kwake kuendelea kwenda huko na kuchukua ujasiri huo. "Kama ninavyosema, haijalishi ni nani anapiga mipira ya adhabu, jambo muhimu zaidi ni kufunga. Wakati timu inapofunga, mimi pia ninafunga.”