Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mimi nataka kujua hiyo double attacking ndiyo kitu gani siyo kujimwambafai sina nia wala sababu ya kufanya hivyo.
 
Timo Werner kwa kukosa tu magoli hana mpinzani..Martial na Rashford wana afadhali

Sema watu wameshinda dakika za mwisho wote..Sevilla na Chelsea..Good spirit
 
ni mara nyingi tu na hakijawahi kuwa na impact yoyote
Mkuu kwa kikosi hiki cha Leo tusiposhinda,,

Basi tutakuwa hakuna timu tena hapo,
Maana hiyo formation ya Leo ndy imeliliwa sana na wadau wa man u icheze hivyo..
Leo ni attacking zaidi Mkuu..
Lazima tushinde..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…