Mkuu umetaka kuelezwa double attacking midifilders ni ipi?na wanapangwane?
Nikakuwekea kikosi,,
Na image ya man u yenye aina ya formation pia nikakuwekea,,
Sasa kuniambiya huyo ni mfumo gani ulimaanisha nn?
Au uonekane unafahamu zaidi kuliko wengine?.