Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,063
- 43,492
Kuna watu mkuu mchezaji akiwa Hana flair kwao sio bora.Thomas Muller anacheza position hiyo hiyo anayocheza Bruno na De Bruyne ila kama unaangalia mpira kwa sababu ya betting huwezi kuona ubora wa huyo kiumbe.
Watu wanaangalia mpira kwajili ya betting tu.Kuna watu mkuu mchezaji akiwa Hana flair kwao sio bora.
Kwangu mimi Muller yupo same level kama Wayne Rooney, akicheza kama striker anakupa Goli 20 ama zaodi kwa msimu na akicheza kama playmaker anakupa Assist 20. Na wanafanya hivi kwa consistency miaka kibao na sio kubahatisha msimu mmoja.
Nikisikia Diaby namkumbuka yule mwamba wa Arsenal ambaye alimalizia career yake kitandani★Bild | Bayer Leverkusen knocked back an attempt from United to sign winger Moussa Diaby.★
manutd | View attachment 1623651
Kwanini usitete tu hoja yako bila kuwa concerned na matatizo yangu ?Wewe una matatizo makubwa mkuu ww yn umfananishe Bruno na Modric wa ss, eti Muller
Ndio depth inachangia mchezaji akiwa hayupo kwenye form anatakiwa aanze nje. Mfano sasa hivi pogba alizingua mechi za mwanzo na combo ya Fred na Mc tominay imeclick vizuri, wameanza hao jamaa mechi karibia zote na Pogba ni sub.Kwahiyo mkuu kisababishi cha hawa madogo kuwa na long runs za inconsistency ni squad depth? au ni mimi sijakuelewa vizuri
Bro ulipo nishatoka zamani za jiwe
Sasa una Ansley Maitland Nails mtu kama bruno wa nini! Usichoelewa mchezaji anaweza kuwa mzuri ktk timu fulani na a kaonekana hovyo kťk timu nyingine,Huwa nashindwa kuelewa kwanini mashabiki wengi wa soka huwa wana chuki binafsi na wachezaji wa timu pinzani. Mnajichelewesha sana kufurahia mchezo wa soka. Huyuhuyu Bruno akija kwenye timu yako utaimba siku nzima ubora wake. Mashabiki wengine eti wanafurahia hadi wachezaji wa timu fulani kuumia. Acheni huo ushamba, kama hujui unachotaka kuongea kaa kimya!
Wtf★ Manchester United have approached Cristiano Ronaldo about returning to the club next season.
Ronaldo is reportedly considering the move and Juventus would then have to sanction any transfer for the attacker, who is contracted in Turin until 2022. ★
#GGMU
manutd |View attachment 1624841
Anakuja kuchukua mafao★ Manchester United have approached Cristiano Ronaldo about returning to the club next season.
Ronaldo is reportedly considering the move and Juventus would then have to sanction any transfer for the attacker, who is contracted in Turin until 2022. ★
#GGMU
manutd |View attachment 1624841
Hizi habari huwa zinaniudhi sana.★ Manchester United have approached Cristiano Ronaldo about returning to the club next season.
Ronaldo is reportedly considering the move and Juventus would then have to sanction any transfer for the attacker, who is contracted in Turin until 2022. ★
#GGMU
manutd |View attachment 1624841
No.4 should be No.1️ The 10 best playmakers in the world according to FourFourTwo:
10. Jack Grealish
9. Christian Eriksen
8. Martin Odegaard
7. Giovanni Reyna
6. Papu Gomez
5. Kai Havertz
4. Bruno Fernandes
3. James Rodriguez
2. Kevin De Bruyne
1. Thomas Muller
Do you agree with this?
According to you...No.4 should be No.1
Mkuu nimetumwa nikuambie kwmb tunasubiri muendelezo kule kwenye uzi wetu kuleShikamoo PAPAA GX