Ninachojua mimi Ole ameidharau game na amewalisha sumu wachezaji wake pia sasa wote wakajisahau wakajikuta wanapanda wote na wameadhibiwa ipasavyo "one mistake, one goal"
Game tutashinda ila Ole kawadharau sana wapinzani wetu kuanzia kwenye kikosi, kuna watu ukiwapanga kwenye michuano kama UEFA wachezaji nao wanajua kabisa hii ni easy game. Ikiwa rahisi sana wachezaji wanajisahau.